Mimba ya mwanamke madhara kwa Mume WHY?

Mimba ya mwanamke madhara kwa Mume WHY?

CK Allan

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
2,781
Reaction score
6,139
tumezoea kuona mwanamke akiwa na mimba changa wakati mwingine huwa na tabia ya kula vitu vya ajabu kama udongo,ndimu,nguo n.k lakin 'nimejulishwa' pia kuna wakati mwanamke akiwa na mimba basi mwanaume ndie anayekula udongo,ndimu,kichefuchef n.k WHY?
 
hii mpya, wataalam njooni basi mtujulishe kulikoni.
 
staki kabisa kukumbuka hii kitu, ilinitesa sana mai waif wangu alipokuwa mjamzito.... ni full matatizo, kuumwa kusikoisha...uchovu , hasira, usingizi, na mengine mengi
Hali ilikata pale tu nilipoambiwa ....mkeo amejifungua salama mtoto wa kike mwenye afya njema.....
 
so mahesabu this thing is real? ha? mbona hukufuatilia kulikoni?
 
staki kabisa kukumbuka hii kitu, ilinitesa sana mai waif wangu alipokuwa mjamzito.... ni full matatizo, kuumwa kusikoisha...uchovu , hasira, usingizi, na mengine mengi
Hali ilikata pale tu nilipoambiwa ....mkeo amejifungua salama mtoto wa kike mwenye afya njema.....
duh pole, kumbe ni kweli? sasa yeye wife anakuwaje nae anasumbuliwa au anakuwa kawaida tu?
 
kwa expirience yangu, wangu alikuwa mzima kabisa and strong...... nakumbuka mpaka last day nilienda kumfata aache shughuli anayoifanya saa nne na nusu usiku........ alfajiri akajifungua
 
staki kabisa kukumbuka hii kitu, ilinitesa sana mai waif wangu alipokuwa mjamzito.... ni full matatizo, kuumwa kusikoisha...uchovu , hasira, usingizi, na mengine mengi
Hali ilikata pale tu nilipoambiwa ....mkeo amejifungua salama mtoto wa kike mwenye afya njema.....

Hivi dawa yake ni nini??? Mimi nateseka utafkiri mi ndo nimebeba zygote sina hamu na baadhi ya vyakula, morning sickness na mara kibao nashikwa na kichefuchefu.. Sasa juzi limeanza lingine lakujaa mate mdomoni nikiongea yani nakereka hadi basi hadi kwenda kazini sometime najistukia
 
Hivi dawa yake ni nini??? Mimi nateseka utafkiri mi ndo nimebeba zygote sina hamu na baadhi ya vyakula, morning sickness na mara kibao nashikwa na kichefuchefu.. Sasa juzi limeanza lingine lakujaa mate mdomoni nikiongea yani nakereka hadi basi hadi kwenda kazini sometime najistukia
duh pole, kweli hii kali bila ushahidi wa wadau hapa jf ningebisha kuwa hakuna kitu kama hiki.
 
Naamini tutakapopata uelewa halisi wa democrasia na soko huria na kujenga mazingira sahihi kwa haya kukua basi tutakuwa tumepata jibu. Swali lina baki ni vipi?

Mimi naweza jibu simply time will tell. Je hili litatosha kuwa jibu?Kwangu mimi naona ndilo jibu linaloweza kuwa sahihi.Sababu ya kupendelea jibu hili ni hii:

Democrasia inavyopanuka ndivyo opportunities zinavyozidi kuwa sawa kwa wote.Na free market inakuwa vizuri ktk democrasia.Free economy inamfanya kila anyejituma na kuwa na uwezo kufanikiwa.

Kufanikisha hili tunahitaji kuweka mazingiza safi na huru kwa ukuaji wa democrasia na soko huria.Nikimaanisha usawa na free enviroment.Hapa bado serikali haijaweza kuaichia huo uhuru ingawaje si kwa ni mbaya kwani watanzania bado hawapo tayari kuhimili hilo.

Mojawapo ya vitu vinavyoleta maana ktk democrasia na soko huria ni pamoja na elimu sahihi.Sasa hapa elimu sahihi ya washikadau ktk mazingira ya Kitanzania ni balaa jingine.Na hili si tu kwa tabaka la wasiofika shule,bali tabaka zima la wasomi wa Kitanzania.Wasomi wetu wetu wa kitanzania wana perspective tofauti kuhusu utandawazi democrasia, maendeleo ya sayansi na teknologia pamoja na mahusiano yetu na mataifa yaliyoendelea kwa ujumla.Sasa kupotoka kunaanzia ktk tabaka la wasomi na wanachuoni na kuendelea kupotoka kunajizidisha hadi kwa raia.

Raia wamekuwa wakijengewa hofu na mtazamo potofu kuhusu democrasia kabla hata mfumo wa vyama vingi kuingia na baadaye hali hiyohiyo ikajikuta ikiingia ktk utandawazi.Leo hii wasomi wetu hawajaonesha nia madhubuti na na kuandaa mipango ambayo si tuu itatuwezesha kulitua soko la marekani kupitia AGOA bali kufanya hata kaujanja tuweze litumia vizuri zaidi ya wenzetu.Soko la Marekani ni soko Tamu na lenye utajiri mkubwa kiasi cha kufanya kila taifa Duniani kupigana kikumbo kulifuata.

Usalama wa raia na mali ndio kitu cha kwanza kuangaliwa,kutoka usalam wa raia na mali zao,bima ndio inatakiwa ifuatie ili kutoa uslama kwa makampuni, baada ya bima mabenki yatakuwa huu kuchukua risk ktk kulegeza masharti, unafuu wa masharti nio utaleta uhuru wa kiuchumi kwa mtanzania ktk kuanzisha chanzo cha mapato.Ushindani ktk soko huria utamlazimisha kila mtu kutafuta usahihi kwa kila muda unaojishuhulisha ktk biashara. Kupanga kodi kwa usahihi kutaleta mvuto ktk biashara halali zaidi na hivyo kuachia uchumi kwa wote.

Kufikia maendeleo kunahitaji ufanisi ktk kila sector na pengine kuanguka kwa wale wasio imara.Hapa namaanisha kuweza kuwa mshindani na kama huwezi ushindani basi uweze jibadili na kuanzisha njia nyingine ila legho ni kujikomboa.Sasa hali hii haijaweza hata fanywa na wasomi wenye kila kitu elimu na njia za kupata mitaji ila wanakosa kitu kimoja ubunifu.Tunavyozidi kubuni vitu ndio tunavyofungua mzunguko wa hela na mifumo ya kiuchumi.

Kutokana na mapungufu haya na mengine ni wazi kuwa tutajifunza kupitia makosa, kutakuwepo na wale watakaoenguliwa na kujiengua hadi pale watakapopatikana waelewa na pale mazingira yatakapokuja kuwa mazuri na huru.Hapa hapatakuwepo watu dhaifu kiakili kwa wakiwepo basi watakuwa wakitumika na kama hawatabadilika basi watajikuta wakibaki wakitumika.

Kwa hiyo kwa jamii yetu nadhani muda ndio utasema na kutupa jibu. Tutashuhudia wengine wakifanikiwa tutashudia tukishindwa na hapo ndipo tutakuwa tumejenga jamii yetu kitaaluma na zaidi tutakuwa na uelewa sahihi wa mazingira. Huku kuelewa mazingira ndipo kutakapotusaidia tafuta njia ya kuyatawala au kuishi ndani yake.

Hapa elimu sahihi ndio itaongoza majadiliano sahihi na hivyo kutupa majibu sahihi na utendaji sahihi popote na muda wote.
Ahsante.

Hata natafuta jibu la kitaalamu sijapata.... Wife yeye yuko shwari misele tu anapiga wakati nateseka hata Maskani siendi tena.. Ingawa wengine wananiambia ni kwa sababu mtoto anayekuja ni opposite sex na mimi, wengine wanaongelea kiimani wanasema anayezaliwa ana direct link na mimi refer theory ya reincarnation... Yaani roho ya mtu ambaye alikuwa karibu na mimi afu akafariki anarudi tena katika maisha yangu. Hopefully my lovely mother atazaliwa tena katika familia yangu
 
huu uzi sijabahatisha nimeona kabisa mwanaume mmoja jamaa tulipanga nae nyumba yaan mkewe alipokuwa mjamzito jamaa alikuwa akisikia harufu ya samaki yaan full kutapika! usiku wa manane jamaa anapanda kwenye muembe kutafuta maembe mabichi! sasa wadau mnasemaje! kuna wazee humu na madaktar hebu tujuzeni
 
Honestly hata mimi sijawai kuiskia hii,nilizoea kuona mwanamke anampenda ama kumchukia mume,n.k lakini si kwa mume kula mpaka udongo.

Udongo hiyo ni issue ya kukosa madini +hizo hisia.

Ila nimewahi sikia roommates wangu wakiilia na kuguna sana usiku kesho yake unasikia mzee katoka....kuna mshkaji alikuwa kaiumwa hoi homa zinapanda kushuka..jamaa hawaoni kitu.Kuja fuatilia kumbe demu wake alikuwa akifanya majaribio kibao ya kutoa mimba kienyeji huku inakataa hadi wakafanikiwa kimalizia kiumbe.At that time baba na mama walikuwa hoi hospital(mama alikuwa uchochoroni baba hospital alipolekwa ghafla ).Watu mitaani walidhani kasepa ili kukimbia mimba ambayo wala hakuwa akijua..wengine wakajua kapotea tuu.

Baada ya mama kufanya majaribio ya kijinga kwa kiasi cha yeye kuwa hoi hadi kitoto kukubali kufa ndipo jamaa akaamka.Alipokuja ambiwa kulikuwa na scenario nyingine aliumia sana kuwa alikuwa na kitoto na kimeuwawa.
 
Hii inaitwa biological bluetooth. Acha kabisa inanitesa sana muda huu
 
mi ishanitokea nilimpa mimba dem skonga kitambo it was 2003 when i was form 3 sasa nikaanxa kichef chef bila mpango kutapika homa ovyo ovyo, cha ajabu dem nilimkazia mbaya sikukubali mimba na shit nilimjibu coz nilikuwa dogo sana halafu ndo ilikuwa siku ya kwanza ku do. sema dada aligundua akamtel bi maza kuwa mwanao kasababisha skull na mhuni nikakataa vile vile, sema wazee walielewana, dogo alipotoka ni kopy yangu mpaka vidole, wale wazee wa demu wakanikazia kunipa mtoto hadi 2016.daah sitaisahau ile mimba ya bahat mbaya
 
staki kabisa kukumbuka hii kitu, ilinitesa sana mai waif wangu alipokuwa mjamzito.... ni full matatizo, kuumwa kusikoisha...uchovu , hasira, usingizi, na mengine mengi
Hali ilikata pale tu nilipoambiwa ....mkeo amejifungua salama mtoto wa kike mwenye afya njema.....

Wangu kula hali kabisaa alafu anapenda sana kulala na hasira ndio kabisaaa hata kuniona hataki kabisaa wala kuniongelesha hataki mtihani aiseeee
 
Back
Top Bottom