Mimba ya wiki3

Baba Collin

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
456
Reaction score
58
Awali ya yote napenda kutambua uwepo wa watu makini na wenye hoja za msingi humu JF. Napata tabu sana baada ya siku mbili zilizopita kufuatwa na mdogo wa rafiki yangu ambae anadai kumpa mimba binti mmoja ambae hakumuweka wazi sana kama ni mwanafunzi au laa.
Hivyo alishauriana na huyo binti waitoe hiyo mimba na binti amegoma kutumia njia ya kuingiziwa kifaa ukeni alimaarufu kuchokolewa.
Hivyo kijana anapenda kufahamu iwapo zipo tablets ambazo akimpa huyo binti anaweza kubleed.
 

kijana ana hatari huyo....kwanza inaonyesha hakuwa akimfahamu vizuri huyo binti......pili kapiga live bila chenga...jamani jamani....khaaa....
Mshauri amuone daktari kwa ushauri zaidi.....
 
mwambie amechelewa, hapo ni kuchokonolewa tu.........
na huyo binti akatae hivyo hivyo walee mtoto
 

sidhani mtu makini na mwenye hoja za msingi atakuwa tayari kuitwa muuaji na kutokuwa na hofu na huruma kama wewe.mwogope muumba wako ni bora hujitoe katika uuaji kama huo, kwani hawakujua madhara yake wakati wamekutana walikushirikisha!
 
zipo dawa ila mimi napenda sana watoto siwezi kukwambia
 
Kutoa mimba hakuna tofauti na ku-lulu
jamani muogopeni Mungu nyie wanadamu, ni kweli wote tumetenda dhambi na kupungukiwa utukufu wa Mungu, lakini si dhambi za mauti kama hiyo ya kuua,
fikiria mama yako angekutoa, hivi kweli ungekuwepo?
au mama yake na huyo demu angemtoa kama anavyotaka kufanya, wakati huu angepata wapi demu wa kuburudika naye?! amaa kweli dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.
Lakini kwa upande mwingine afikirie madhara ya kutoa mimba, huwa ni makubwa kuliko kubaki nayo na kuzaa. kwa mfano, anaweza asizae tena, hivyo atajilaumu maisha yake yote; akimtoa pia atabaki na guilty concious maisha yake yote, maana kila wakati atakuwa anakumbuka, ningezaa mtoto angekuwa na umri huu, angekuwa amemaliza shule, angekuwa ameoa au kuolewa, na mengine
so mdogo wangu mpe mtoto haki yake ya msingi ya kuishi
"FOR WHATERVER REASON, TAKING SOMEONES' LIFE IS NEVER RIGHT"
 
kijana ana hatari huyo....kwanza inaonyesha hakuwa akimfahamu vizuri huyo binti......pili kapiga live bila chenga...jamani jamani....khaaa....
Mshauri amuone daktari kwa ushauri zaidi.....
Preta, do you support this garbage? Siamini macho na masikio yangu! Anyway, dunia ya leo lolote laweza tokea
 
jaribuni kumuogopa na kumuheshimu sana MUNGU sana nyie watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…