Baba Collin
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 456
- 58
Awali ya yote napenda kutambua uwepo wa watu makini na wenye hoja za msingi humu JF. Napata tabu sana baada ya siku mbili zilizopita kufuatwa na mdogo wa rafiki yangu ambae anadai kumpa mimba binti mmoja ambae hakumuweka wazi sana kama ni mwanafunzi au laa.
Hivyo alishauriana na huyo binti waitoe hiyo mimba na binti amegoma kutumia njia ya kuingiziwa kifaa ukeni alimaarufu kuchokolewa.
Hivyo kijana anapenda kufahamu iwapo zipo tablets ambazo akimpa huyo binti anaweza kubleed.
Hivyo alishauriana na huyo binti waitoe hiyo mimba na binti amegoma kutumia njia ya kuingiziwa kifaa ukeni alimaarufu kuchokolewa.
Hivyo kijana anapenda kufahamu iwapo zipo tablets ambazo akimpa huyo binti anaweza kubleed.