Mimba za utotoni ni mkwamo mkubwa kwa mabinti walio shule

Mema Tanzania

Member
Joined
Feb 23, 2020
Posts
66
Reaction score
65
Mimba za utotoni ni moja ya mkwamo mkubwa wanaopitia mabinti walio shuleni kuweza kutimiza ndoto zao. Katika kipindi hiki cha likizo ya ghafla hatari ya mabinti kupata mimba ni kubwa zaidi.

Hata hivyo yafuatayo yanaweza kukusaidia kuepuka vishawishi na matamanio ya kingono;-

Fanya mazoezi ya kutosha.



Epuka kutizama filamu/video zenye maudhui ya ngono.



Jibidiishe katika ibada kulingana na imani yako.



Soma vitabu ambavyo vitakusaidia kufikiri na kuichangamsha akili.



Epuka kukaa peke yako muda mwingi. Tumia muda mwingi na ndugu/marafiki



Tengeneza ratiba ya masomo na uzingatie.



Haya ni machache! Mdau wetu ongeza mengine na umsomee kwa sauti ya juu 😁!
-
#IshiKijanja #AfyaYaUzazi #SisiNiMema #StayAtHome #StaySafe #SaveLifes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…