Mimba

Mimba

Inawezekana kabisa ndugu. Ninao ushahidi wa kutosha. Kisayansi, mwanamke akiwa kwenye ovulation, huwa na ute mwepesi na laini sana. Ikiwa atagusana na mwanaume ambaye haja du siku nyingi, akiachia sperm huwa zinakuwa na speed kali sana, hivyo kwa bahati zikakutana na ule ute laini, midhili ya ute mweupe wa yai, huweza kusafirishwa haraka hadi kwenye yai lililopevuka, hivyo uwezekano wa binti kupata mimba ni mkubwa. Imetokea na nikashuhudia.

Kwa kumwagia juu, bila ya kuingiza hata kichwa?
 
Naomba tuwe tunaheshimu mawazo ya mtu na shida yake..uwezo wa kufikiri binadamu hatuko sawa wala kuwaza pia hatuko sawa..hii tabia imenza kuota mizizi humu ndani mnapoteza maana nzima ya Great thinkers kama mnaanza kuwa mnadharau post za wenzenu..kama hauna la kuchangia ni bora kukaa kimya..

Ni heri unyamaze uonekane ni mjinga kuliko kuongea uoneakane Mpumbavu..

Asante.

aiseeeeeee babaangu naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom