Mimea ina akili?

🙏🙏🙏
 
Ngoja mmea wako ukue uvuke na fensi uende kwa jirani ako ndio utajua kua mmea. Una akili au akili una mmea.
Bado hujasema.
 
Ngoja mmea wako ukue uvuke na fensi uende kwa jirani ako ndio utajua kua mmea. Una akili au akili una mmea.
Bado hujasema.
Yaani niugharamie mimi halafu matunda uyapeleke kwa jirani? Sitauruhusu!!!
 
Mimea ina nguvu ndani yake,ipo mimea usinyaa ikiguswa,ipo mimea hula wadudu akitua tu inajifunga analiwa,ipo mimea ina nguvu za kuzuia nguvu za wachawi na majini wasiweze kuingia eneo nyumba au shamba.
Ipo mimea inayovutia nyoka na isiyovutia pia.
Ipo mimea ndani ya nyumba kama hakuna amani haikui inasainyaa,ipo mimea uleta bahati,nk
 
Mkuu, mimea inakula "wanyama?" Ina mfumo ya kuweza kumeng'enya wadudu?
 
Huku machakani tunatumia mimea kugundua planted mines (Mabomu) katika eneo husika.
Bioengineered.
Nahisi wewe ni msoja!

Huwa mnafanyeje mkuu? Tueleze japo kidogo tu. Tutoe tongo tongo, huenda na sisi tukapata idea ya kuitumia kufanyia gunduzi zenye manufaa.
 
Je mumea hauhisi maumivu unapokatwa?[emoji16]
 
Ipande mpwa mix colors zote nyumbani utapaona kama paradise....sema migumu kidogo kuota ukiwa na dhambi flaniflani haioti ukipanda😁
Mimea ina utambuzi wa dhambi? Dhambi gani labda?

Ni wapi ninakoweza kupata mbegu yake jijini Mwanza?
 
Nadhani unauliza kwa nini mimea inayokua kwa kulanda ina uwezo wa kukua kufuata sehemu ya kujiegemesha. Kwa kawaida, mimea inayokua kwa kulanda ina uwezo wa kukua kufuata sehemu ya kujiegemesha kwa sababu ya phototropism. Phototropism ni uwezo wa mimea kukua kuelekea chanzo cha mwanga. Hata hivyo, mimea inaweza kukua kufuata sehemu ya kujiegemesha kwa sababu ya gravitropism. Gravitropism ni uwezo wa mimea kukua kuelekea chini kwa sababu ya mvuto wa ardhi. Kwa hiyo, mimea inayokua kwa kulanda inaweza kukua kufuata sehemu ya kujiegemesha kwa sababu ya gravitropism
 
Mimea ina akaili kuliko Mtanzania anayeona kuwa mzayuni ni mjomba wa mungu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…