Mimea ina masikio?

Mimea ina masikio?

na akaona achimbe shimo ayafukie maneno apande na mti mti nao friji lake bovu
Kumbe na wewe ulikisoma! Uvumilivu ulimshinda japo alijitahidi🤣

Hata hivyo alikuwa mwaminifu! Hakuivujisha siri kwa binadamu ye yote.

Isingekuwa umbea wa mti isingejulikana🤣🤣🤣
 
Mtoa hoja ana hoja
Hakuna kitu kama hicho ulichokisema.
Hakiwezekani kimantiki, kisayansi na Wala kifalsafa yoyote.

Ingekuwa kweli watu wasingepambana kununua pembejeo Bali wangelitafuta mghani mashairi hodari ili wapate mavuno bora.

BICHWA KOMWE kama unamuonea wivu mtaalamu wetu nenda nawe ukasome
Hilo siyo bichwa komwe, ni kundu komwe.
 
Back
Top Bottom