Baada ya kumaliza kuimba hakukupelekea moto?Me leo nimeota ney wa mitego YUKO pembeni yangu anaimba nyimbo ya kuabudu nikajigubika na shuka sikuamin[emoji16][emoji16][emoji16]sitanii ni kweli
Hapana nikalala zangu tuBaada ya kumaliza kuimba hakukupelekea moto?
Kweli tafuta hela uache kuota ndoto za marehem[emoji1787]Man mi nimeota napiga story na hitler kuhusu sadam Hussein story zilipokolea sana mwamba iddi amin Dada huyu hapa[emoji23][emoji41]
Kuna kilema tumemkata kichwa tumekiweka kwenye friji
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Si Leo nimeota Beyonce kagombana na jayze kisa Mimi chochote kitu [emoji1787]
Karuka ukuta Zaid ule wa mererani kuja kwenye geto langu.
kaniahidi music anaacha kwa ajili yangu aje tukalime korosho tandahimba kwetu
i love my Beyonce Niko tayar kupigania penzi letu juu ya utani wowote utakaotokea katikati