Mimi baada ya Jana tayari nimeshamjua aliye nyuma ya Utekaji na Mauwaji ya sasa nchini. Wewe mwana JF bado hujamjua tu?

Mimi baada ya Jana tayari nimeshamjua aliye nyuma ya Utekaji na Mauwaji ya sasa nchini. Wewe mwana JF bado hujamjua tu?

Naiomba ile Tume iliyoundwa wala isitupotezee muda, bali iache tu Maisha yaendelee kwakuwa Mtendaji tumeshamjua.
Tena kachafukwa haswaa.

Sijaanzisha uzi wowote tangu hotuba ile. Nilipanga kuchambua baadhi ya angles. Nimesikiliza hotuba yote mpaka moyo umejikunyata

Itanichukua siku kadhaa shock yangu ishuke kisha maisha yaendelee
 
Takbiiiirrrrr
Mwamba huyo aliyeulinda, kuutetea na kuukomboa Uislamu. Kupitia yeye leo tuna uhakika wa jannah na firdaus.

Allah azidi kumfanyia wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S
Malaria 2 dronedrake adriz Kanali_
20240918_090850.jpg
 
Kauli ya Jana, kauli mujarab na nilitegemea kuisikia toka kwa Mh...

Pia, hakuna jipya/kipya kitakachotokea.

Kama wananchi wengi wangejua yanayoendelea basi wangeshukuru yaliyotokea kuliko kurudishwa zama za MKIRU

Mungu anatupitisha sehemu sahihi na Salama zaidi

Zidumu fikra za mwenyekiti...

Tanzania ni taifa huru, nchi huru...
Tuna marafiki wengi wazuri na wenye nia njema, pia tuna marafiki wabaya ambao tuna waangalia kwa umakini.

Nia zao hovu zitashindwa
 
Intelijensia yetu ni kubwa sana, na hiki ndicho kikwazo kikubwa sana kwa wapanga mahovu

Mh. Yupo sahihi, hawatoweza... labda wajaribu njia zingine
 
Intelijensia yetu ni kubwa sana, na hiki ndicho kikwazo kikubwa sana kwa wapanga mahovu

Mh. Yupo sahihi, hawatoweza... labda wajaribu njia zingine
Kataja mchezo wa kufanya siasa za misiba za chama pinzani kataja pia kuwa kuna sheria ya 4R inawalinda kufanya hayo makitu yasiokubalika kwahio hawezi shikwa yeyote japo ushahidi kasema upo
 
Back
Top Bottom