GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Naiomba ile Tume iliyoundwa wala isitupotezee muda, bali iache tu Maisha yaendelee kwakuwa Mtendaji tumeshamjua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaitwa Kagame style ila hii ina udambwidambwi mwingi hadi na tunguliNaiomba ile Tume iliyoundwa wala isitupotezee muda, bali iache tu Maisha yaendelee kwakuwa Mtendaji tumeshamjua.
Tena kachafukwa haswaa.Naiomba ile Tume iliyoundwa wala isitupotezee muda, bali iache tu Maisha yaendelee kwakuwa Mtendaji tumeshamjua.
Ni wewe peke yako ndiye ambaye ulikuwa hauwajui hao watekaji, Watu wengine wote tulikuwa tunawafahamu vizuri Sana.Naiomba ile Tume iliyoundwa wala isitupotezee muda, bali iache tu Maisha yaendelee kwakuwa Mtendaji tumeshamjua.
Hahaha Imam Hussein Ibn Ali (AS) kipenzi chetu cha dhati atusaidie asee.Inaitwa Kagame style ila hii ina udambwidambwi mwingi hadi na tunguli
TakbiiiirrrrrHahaha Imam Hussein Ibn Ali (AS) kipenzi chetu cha dhati atusaidie asee.
Tume si imeshamaliza kazi?!Naiomba ile Tume iliyoundwa wala isitupotezee muda, bali iache tu Maisha yaendelee kwakuwa Mtendaji tumeshamjua.
Kikosi cha kupambana ugaidi kwa maana hiyo jina lako likisha ingia kwenye list huponi.. huyu mzee nae lazma atakuwa ametaja watu, wote wataliwa vichwa kwa namna tofaut
Mwamba huyo aliyeulinda, kuutetea na kuukomboa Uislamu. Kupitia yeye leo tuna uhakika wa jannah na firdaus.Takbiiiirrrrr
Tume si imeshamaliza kazi?!
Are you serious? Hotuba ya jana uliiisikiliza?Kiongoz Fanya kutupa hata ile staili ya kode tujitafute
Kataja mchezo wa kufanya siasa za misiba za chama pinzani kataja pia kuwa kuna sheria ya 4R inawalinda kufanya hayo makitu yasiokubalika kwahio hawezi shikwa yeyote japo ushahidi kasema upoIntelijensia yetu ni kubwa sana, na hiki ndicho kikwazo kikubwa sana kwa wapanga mahovu
Mh. Yupo sahihi, hawatoweza... labda wajaribu njia zingine