Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
Wengi wanachukulia poa ila Nature doesn't lieUzuri,,Kanuni na Asili ya Ulimwengu ni Hakuna linalodumu Milele,,Hakuna kitakachosalia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wanachukulia poa ila Nature doesn't lieUzuri,,Kanuni na Asili ya Ulimwengu ni Hakuna linalodumu Milele,,Hakuna kitakachosalia.
Nature ndiyo itaokoa haya makandokandoWengi wanachukulia poa ila Nature doesn't lie
Huyu hapa chini sikiliza video clip hapa chini.Naiomba ile Tume iliyoundwa wala isitupotezee muda, bali iache tu Maisha yaendelee kwakuwa Mtendaji tumeshamjua.
Hehe ila atamuweza Netanyahu kweliMwamba huyo aliyeulinda, kuutetea na kuukomboa Uislamu. Kupitia yeye leo tuna uhakika wa jannah na firdaus.
Allah azidi kumfanyia wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S
Malaria 2 dronedrake adriz Kanali_
View attachment 3099334
Isivyo kawaida.Kuna mtu kawa mkali sana
Ova
Tumlaumu Mwalimu ,kutuingiza chaka la Muungano.Naiomba ile Tume iliyoundwa wala isitupotezee muda, bali iache tu Maisha yaendelee kwakuwa Mtendaji tumeshamjua.
Pole sana chief...Tena kachafukwa haswaa.
Sijaanzisha uzi wowote tangu hotuba ile. Nilipanga kuchambua baadhi ya angles. Nimesikiliza hotuba yote mpaka moyo umejikunyata
Itanichukua siku kadhaa shock yangu ishuke kisha maisha yaendelee
Hahaha ndo hapo sasa.Hehe ila atamuweza Netanyahu kweli
Et kifo ni kifoNaiomba ile Tume iliyoundwa wala isitupotezee muda, bali iache tu Maisha yaendelee kwakuwa Mtendaji tumeshamjua.
Aiseeeè!!Naiomba ile Tume iliyoundwa wala isitupotezee muda, bali iache tu Maisha yaendelee kwakuwa Mtendaji tumeshamjua.
Pascal Mayalla ana lugha flani ya kisukuma anaitumiaga sana Karma.Uzuri,,Kanuni na Asili ya Ulimwengu ni Hakuna linalodumu Milele,,Hakuna kitakachosalia.
Exactly!!!Pascal Mayalla ana lugha flani ya kisukuma anaitumiaga sana Karma.
🤣🤣🤣Huyu hapa chini sikiliza video clip hapa chini.
View attachment 3099385
Kafiri mkubwa!!Hahaha Imam Hussein Ibn Ali (AS) kipenzi chetu cha dhati atusaidie asee.