Mimi baada ya Jana tayari nimeshamjua aliye nyuma ya Utekaji na Mauwaji ya sasa nchini. Wewe mwana JF bado hujamjua tu?

Naiomba ile Tume iliyoundwa wala isitupotezee muda, bali iache tu Maisha yaendelee kwakuwa Mtendaji tumeshamjua.
Huyu hapa chini sikiliza video clip hapa chini.
Your browser is not able to display this video.
 
Tena kachafukwa haswaa.

Sijaanzisha uzi wowote tangu hotuba ile. Nilipanga kuchambua baadhi ya angles. Nimesikiliza hotuba yote mpaka moyo umejikunyata

Itanichukua siku kadhaa shock yangu ishuke kisha maisha yaendelee
Pole sana chief...
 
Hahaha Imam Hussein Ibn Ali (AS) kipenzi chetu cha dhati atusaidie asee.
Kafiri mkubwa!!
Badala ya kuomba msaada kwa Allaah عز وجل unaomba msaada kwa Hussein??!!
رضي الله تعالى عنه
Yaani nyinyi mashia dini yenu kama Wakristo tu hivi ambao badala ya kuomba msaada kwa Allaah wanaomba msaada kwa Yesu na Maria!!!
 
Mtani naona bado unaye mpaka aseme poo. Si kwa thread hizi kumhusu Korean Goddess
 
Kurujuani ishaanza kazi...... 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…