Mimi baada ya Jana tayari nimeshamjua aliye nyuma ya Utekaji na Mauwaji ya sasa nchini. Wewe mwana JF bado hujamjua tu?

Allah ndo alimtuma mtume Muhammad SAW kumuandalia njia mwamba kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ibn ali A.S
 
Allah na Muhammad wameshindwa wamekula kona na kuzama chaka nakuwawacha wapalestina baada ya kuwadanganya.

Sasa ni wakati wa kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali (AS) kuingilia kati na kuleta amani ya kudumu.

Mcheki mwamba hapo chini.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…