Mimi binti, natafuta mwenza aliye serious

Kibebeo

New Member
Joined
Oct 3, 2019
Posts
2
Reaction score
6
Mimi bint4 natafuta mwenza aliye serious.. Tuyajenge maisha

Sifa zangu
Umri miaka 34

Elimu kidato cha

Sina mtoto

Sifa za nimtafutae
Awe na miaka 34-45

Muelewa mwenye hofu ya MUNGU awe mkristo mwenye shuguli yakumuingizia kipato, aliye tayali na maisha ya ndoa.

Kama unasifa izo njoo pm tuzungumze
 
Elimu kidato cha........
Ina maana akishajitokeza ndio utamwambia elimu yako????
 
Najua kuna magumu mengi unayapitia kutokana na umri wako...ningekuwa sijawa booked ningekuja tuligurudumishe gurudumu la maisha.
 
at that age utapata.......kuna wagane wengi watakuja huko.....ila hao uliosema 34-45......wengi watakuwa wananunua gazeti la leo ILA jioni ---LISHASOMWA SANA........
 
Ungechagua jina zuri kama Cute K, Beautiful K, nk. tungekuja pm kwa kasi sana! Sasa umeamua kujiita Kibebeo! Jina halivutii kabisa mabaharia.
Umesharahisishiwa. Vigezo hakuna kwahiyo chukua mke tena anakufaa. Huyu ukimuoa atakushukuru sana maana ndoa ameisumbukia na anajua uchungu wake. Hata ukimkosea atajikuta yeye ndiye anakuomba msamaha ili usimuache.
 
Kibebeo, Natafuta mke lakn naona mileage yako itakuwa imetembea mnoooo nikiangalia maisha ya watoto wa kike Kyle badoo nachoka kabisa.
 
at that age utapata.......kuna wagane wengi watakuja huko.....ila hao uliosema 34-45......wengi watakuwa wananunua gazeti la leo ILA jioni ---LISHASOMWA SANA........
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa...
 
Miaka 34 bado unajiita binti !!!!
Jaribuni kuheshimu marika ya watu.
 
Kuna mtoto wa shangazi yangu aliwahi kusema Namnukuu"wanawake hupoteza muda mwingi sana wakiwa na umri mdogo,wakishaona umri umesogea huwa wanatafuta sehemu ya kujisitiri."Mwisho wa kunukuu.Dada where were you when you were young?why did you waste your youth.Samahani we sio binti ni mwanamke.at 34 kuna mtu uliwahi kuishi naye akakupotezea muda najua.Now unataka kujisitiri.Utapata mtoto ukiwa na age gani?Kila la kheri,ukiona huwezi kupata please tafuta mtu zaa naye ulee mwanao dont waste more of your time.Mungu akuongoze akupe hitaji la moyo wako.

Warm Regards

Kede
 
Miaka 34 bado unajiita binti !!!!
Jaribuni kuheshimu marika ya watu.
Hahahaa. Mkuu hapa ndio kwa kumuelewesha sasa binti anaishia miaka mingapi na kwa hiyo miaka aliyo nayo ajiite vipi?

Sababu kama kakosea huenda hajui nini maana ya binti.
 
Sasa mtu kabakiza miaka kadhaa tu aingie menopause halafu anajiita binti si kuwatukana mabinti ?
Alikoma kuitwa binti alipovuka 25 ahamie kwenye rika lake.
Hahahaa. Mkuu hapa ndio kwa kumuelewesha sasa binti anaishia miaka mingapi na kwa hiyo miaka aliyo nayo ajiite vipi?

Sababu kama kakosea huenda hajui nini maana ya binti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…