hahahahaha yaani wengi wameingia inbox kuniuliza ndio maana nimeona bora niweke tu uzi hapa kwenye jukwaa la utambulisho: mie ni mwanamke wa KIPARE wa bila kuchakachuaDuh aisee mie mmoja wapo huwa najua wewe ni kidume
waambie tena tunashare bwana pale t.....hahahahaha yaani wengi wameingia inbox kuniuliza ndio maana nimeona bora niweke tu uzi hapa kwenye jukwaa la utambulisho: mie ni mwanamke wa KIPARE wa bila kuchakachua
waniitusha..!Wana JF kuna post moja nilichangia, lakini nimestuka kuona members wengi wanahoji kama mimi ni jinsi gani!
Ili kupunguza maswali MIE NI MWANAMKE
Ahsanteni
Hanini?waniitusha..!
hahahahahahahahahah, Bwana la Kisukuma tehe tehe tehewaambie tena tunashare bwana pale t.....
kwanini umecheka sana FOD 66?CHIKIRA SIJUH CHIKWIRA MUTABIRI SIJU MTABIR nmecheka hapa kidogo nidondoshe pc yangu yani jf very funny
Hawakunitongoza bali walikuwa wanauliza jinsi yangu! siku hizi watu hawaendekezi kutongoza! wanajishughulisha kutafuta pesa!Aliyeijaza PM naye ana kasoro kuubwa sana. Nkiamka asubuhi nkakukuta chumbani mwangu hata yowe haitoki bali nazimia na utakuwa mwisho wangu kumtongoza mwanamke.
waniisha iti u wakiche..Hanini?
mh!waniisha iti u wakiche..
sinakunda..
hahahahah jamani, sawa Compact tehe tehe teheMkuu kumbe we ni Ke? Aisee,inabidi haya majina yaandikiwe jinsia kwa mbele. Kwa mfano,CHIKIRA MTABARI (ke)