Mimi CHIKIRA MTABARI ni

Mimi CHIKIRA MTABARI ni

t
hahhhaah asigwa mbavu zangu mieee. Siku ukija Mwanza tutafutane bwana tukae hata pale Hotpot si karibu na kwenu au kwa Komba hahahaha
teh teh teh kwa Komba pale kama unaelekea Kona ya Bwiru aiseee.

Kama ni mtumiaji mzuri wa kitimoto nafikiri nitaweka oda ya kilo 3 kabisa.

Ole wako usindwe kuzimaliza, utanilipa gharama zote.
 
t

teh teh teh kwa Komba pale kama unaelekea Kona ya Bwiru aiseee.

Kama ni mtumiaji mzuri wa kitimoto nafikiri nitaweka oda ya kilo 3 kabisa.

Ole wako usindwe kuzimaliza, utanilipa gharama zote.
Ila siku hizi pamepooza sio kama zamani
 
hahaha nakodoa macho kukulinda nisiibiwe nina wivu kupita maelezo
hahahahahh marymarymary kuna bajaji imeandikwa MKANYE MKEO HII BAJAJI SIO YANGU, sasa na mie nakwambia mkanye ASPRIN hahhahahahahahahhah.
 
hahahahaha yaani wengi wameingia inbox kuniuliza ndio maana nimeona bora niweke tu uzi hapa kwenye jukwaa la utambulisho: mie ni mwanamke wa KIPARE wa bila kuchakachua
WALIOSHINDWA KUJUA WEWE MWANAMKE WATAKUWA WAGONJWA SIYO BURE
 
hahahahahh marymarymary kuna bajaji imeandikwa MKANYE MKEO HII BAJAJI SIO YANGU, sasa na mie nakwambia mkanye ASPRIN hahhahahahahahahhah.
Na kuna nyingine imeandikwa "MWAMBIE MKEO, AKISHUKA ASINISHIKE MABEGA" nami nakukanya achia mabega yangu, shauri zako.
 
hahahahaha yaani wengi wameingia inbox kuniuliza ndio maana nimeona bora niweke tu uzi hapa kwenye jukwaa la utambulisho: mie ni mwanamke wa KIPARE wa bila kuchakachua
Kheee.. labda post zako zimekaa ki - shamale ndo maana watu wakachanganyikiwa
 
Nitaleta posa Ndungu mnipokee mkuria mimi, mpole napiga mwanamke kwa doti ya kanga tu.....
uwiiiii wakurya mwanamme anakuchapa halafu anajitetea eti NILIKUWA NAMNYOOSHA NYOOSHA hahahahahah
 
Back
Top Bottom