IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,362
- 6,274
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo mkopo sema nae alikuwa saund nyingi wakati huo huo ananipunusa tu .Mmmh ulikopa?? maana itakuwa bonge la usongo
akikaa mwaka sijui itakuaje 😂😂Yaani huyu demmis mwezi anaona mwingi!wenziwe tunakaa mpk mwaka hatuumwi!
Sent using Jamii Forums mobile app
We siwezi halaf tupo pamoja makao makuu
nahic tabia nimezishindwa,soon nitamrudisha kwako[emoji23][emoji23][emoji23]sijui kama wifi anataarifa ya hii kitu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] huyu siku hizi anazidi kuaribikiwa jaman
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Waah[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Demiss msikie huyu kijana[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] khaaa hii ndoa imekufa kuanzia dakika hii,huu niudhalilishaji uliopitilizaUtaamini tu utakavyoomba poo ndotoni[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
tena umwambie shemeji afanye kazi haswa haswa,atembee uchi mwaka mzima kama adhabu