Mimi kama mjasiriamali, hili ndio nililojifunza kwa Rais Magufuli: Ni mshindi asiyekubali kushindwa

Mimi kama mjasiriamali, hili ndio nililojifunza kwa Rais Magufuli: Ni mshindi asiyekubali kushindwa

Kwa hiyo mkuu,,
unatufundisha tuwe wanafiki inapobidi na kujipendeza kupitiliza ili kutimiza malengo eti?

Sent using Jamii Forums mobile app
La muhimu ni kufanya jambo ambalo ni legal ili kutimiza malengo. Legal manake pasipo kuvunja sheria. Moral au kufuata maadili ni jambo lingine. Manake jambo linaweza kuwa legal lakini likawa sio moral. Mtu ukawa haujavunja sheria lakini jambo umetenda halina maadili.

Kuwa mnafiki na kujipendekeza kupitiliza hakujakaa kimaadili sana lakini ni legal. Kwake yeye Bashite alimjua Jiwe na kutambua ili aendelee kuwa mtoto wake mpendwa ni lazima afanye kila kitu baba anafanya. Watu kama Nape Nauye walifanya vingine na mwisho wa siku bado wakaenda ikulu kupiga magoti. Mimi baada ya Mwigulu kuachishwa uwaziri nilimshauri jambo, na akafanya hivyo hivyo. Na sasa amerudi uwaziri. Sijisifii, lakini kuna mambo katika maisha nayafahamu sababu nimetokea sifuri hadi nilipo leo nimefanikiwa namshukuru Mungu.

Cha kujifunza hapo ni strategy tu. Kujipendekeza au kuwa mnafiki sio kuzuri. Somo hapo ni kwamba mtu ili kufanikiwa, ni lazima uchague strategy ambayo itakufanikisha wewe binafsi na malengo yako.

Na ndio nilimtaja Jack Ma, kamwe hakosoi Chinese govt sababu anajua matokeo yatakuwaje. Au wadada wanaofanya porn, wao malengo yao yametimia japo wanachofanya sio maadili.

Pia tujifunze kuwa mwisho wa siku, sio lazima kufurahisha watu. Tujiangalie sisi wenyewe na malengo yetu. Manake hata kama jambo sio moral kwa watu, kama ni legal na ndio lengo letu la maisha, tusiangalie wengine watatusema vipi.
 
Wewe unaona huko USA watu wanavyofanya mambo kisayansi na kwa weledi mkubwa. Kati ya hayo mafanikio ya magu uliyotaja unafikiri kweli kuna science imetumika au kwako mafanikio ni mafanikio tu haijalishi umeyapata vipi?

Manake huyu anatumia dubious means hata kuzima uhai wa mtu, hili halikubaliki.
 
Sawa, nmekuelewa mkuu cha msingi kusoma alama za nyakati
La muhimu ni kufanya jambo ambalo ni legal ili kutimiza malengo. Legal manake pasipo kuvunja sheria. Moral au kufuata maadili ni jambo lingine. Manake jambo linaweza kuwa legal lakini likawa sio moral. Mtu ukawa haujavunja sheria lakini jambo umetenda halina maadili...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unaona huko USA watu wanavyofanya mambo kisayansi na kwa weledi mkubwa. Kati ya hayo mafanikio ya magu uliyotaja unafikiri kweli kuna science imetumika au kwako mafanikio ni mafanikio tu haijalishi umeyapata vipi? Manake huyu anatumia dubious means hata kuzima uhai wa mtu, hili halikubaliki.
Kweli binafsi naona suala la kuruhusu mambo ya kuabudu na mikusanyiko ya kidini ni kosa kubwa sana. Sababu watu wanaweza kuabudu nyumbani au sehemu yeyote. Na huko ndio wanaambukizana sana kisha waje waambukize hata wale wanaojitahidi kufanya isolation. Kwa hio suala la kusema Covid ni ibilisi hapo hapana sikubaliani na hilo.

Kwa mambo ya kujifukiza hata USA yapo. Kule yanaitwa steam rooms au hot spas. Tena za Africa ni nzuri zaidi sababu zina dawa za asili na sio steam tu.

Ukweli hili gonjwa halina dawa, kwa hio inabidi wajaribu hili na lile. Sioni tatizo katika hilo. Japo science siku zote ni nzuri zaidi, lakini ni Watanzania wangapi wataweza nunua madawa ya pharmacy kila siku kama steroid drugs za kuondoa inflammation kidonge ni 700 kuendelea? Na mtu anahitaji vidonge vinne hadi nane kwa siku?
 
Back
Top Bottom