Mimi kama Shabiki wa Arsenal natamani Man City ashinde Kesi yake

Mimi kama Shabiki wa Arsenal natamani Man City ashinde Kesi yake

reyzzap

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2014
Posts
6,813
Reaction score
21,807
Muombee adui yako aishi maisha Mengi ili unapofanikiwa ajionee mwenyewe.

Hatutaki visingizio mwisho mwa msimu,
Kuna Gap la points 5, na mechi mkononi ambayo najua ni +3, maana msimu huu tunapita kila mtaa kama mwenge..

Tulimpa nafasi ya kupunguza juzi, kashindwa, Sasa si tufanyeje????

Man U ngoja atupe hamasa, namuombea kwa Mungu Ashike nafasi ya 3,
Newcastle atumike kupunguza kasi ya vigogo ili ushindani uzidi..

Wale wenzangu wa mtaa wa 9 & 10 nawaombea wapande juu kdg angalau waonekane kweny 1st Pg ya EPL table.

Kwa maana hio tegemeo letu kwa changamoto ni City na hilo Jini lao, unampokonya points 15 mtu aliyeachwa points 8 kihalali si uonevu???

KUOMBEANA NJAA NI DALILI ZA UCHAWI.
KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE.
 
Hiyo kesi wanaojua mambo wanasema haiwezi kuamuliwa hivi karibuni, kwa hiyo hata kama ikitokea Man City akashindwa kesi, pointi atakatwa misimu ijayo, wanadai msimu huu sio rahisi kutokea hilo.
 
Hii kesi haez ishinda bro n labda apewe adhabu kidg. Af izo sio accusations n kesi kabsaaa
 
Hiyo kesi wanaojua mambo wanasema haiwezi kuamuliwa hivi karibuni, kwa hiyo hata kama ikitokea Man City akashindwa kesi, pointi atakatwa misimu ijayo, wanadai msimu huu sio rahisi kutokea hilo.
Juventus wamekatwa tuu baada ya uchuguzi kukamilika.
 
Muombee adui yako aishi maisha Mengi ili unapofanikiwa ajionee mwenyewe.

Hatutaki visingizio mwisho mwa msimu,
Kuna Gap la points 5, na mechi mkononi ambayo najua ni +3, maana msimu huu tunapita kila mtaa kama mwenge..

Tulimpa nafasi ya kupunguza juzi, kashindwa, Sasa si tufanyeje????

Man U ngoja atupe hamasa, namuombea kwa Mungu Ashike nafasi ya 3,
Newcastle atumike kupunguza kasi ya vigogo ili ushindani uzidi..

Wale wenzangu wa mtaa wa 9 & 10 nawaombea wapande juu kdg angalau waonekane kweny 1st Pg ya EPL table.

Kwa maana hio tegemeo letu kwa changamoto ni City na hilo Jini lao, unampokonya points 15 mtu aliyeachwa points 8 kihalali si uonevu???

KUOMBEANA NJAA NI DALILI ZA UCHAWI.
KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE.
Dogo kumbe hupo?
 
😂😂😂😂 wabongo bhana ligi zenu zinawashinda mnaleta ujuaji kwenye ligi za wajanja huko wanaojua mpira ni nini na unaendeshwaje kuanzia uongozi mpaka wachezaji.
 
Arsenal tunabeba EPL bila mbambamba, hawa city msimu huu hawapo vizuri kivile. Mtaa wa 9 na 10 kwa mechi zilizobakia wakijitahidi sana watahamia mtaa wa 6 na 7.
 
Back
Top Bottom