Mimi Kisandu Junior nampenda sana Evelyn Salt

Be ware JF members huyu ni mtu asiyejulikana anatuchota. Kaa kimya au pitia tu. Kisandu mkubwa bado yupo lupango wanataka kutudaka.
 
Au ni danga lake linamjaribu, kama bado ni maharage ya mbea.
 
Ukoo wa kisandu huwa hawajibu uzi haraka haraka, lazima wachukue muda mrefuuu au wasirudi kabisa. Lakini pia ukoo wa kisandu wanapenda mamiss tena mdada awe mweupe, sasa kama junior kakolea bila kujua haya, basi sio ukoo wa kisandu.
 
Ndugu kama umeanzia huku na hujamwambia yeye binafsi kwanza, basi utakuwa ni bonge la lofa
 
Hahahah mmeshammisi[emoji23][emoji23],hadi tarehe umeandika[emoji23]kweli ulimkariri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…