Mimi kuishangilia Simba SC ni sawa na shekh anayelazimishwa kula nguruwe, siwezi na haitotokea mpaka nakufa

Mimi kuishangilia Simba SC ni sawa na shekh anayelazimishwa kula nguruwe, siwezi na haitotokea mpaka nakufa

Ushasikia shekhe mwenye njaa kali kakuta finyango za kitimoto choma huku akijua hakuna mwenzie anayemuona? Unadhani atafanyaje? Ndo wewe sasa.
 
Astaghafir! Astaghafir! Astaghafir NALIA NGWENA na akili yangu timamu Mimi huyu nikaishaingilie Simba SC eti kwa kuwa Waziri Kasema tuweke uzalendo ni ngumu sana Tena sana na haitotokea.

Siwezi kuishangilia timu ambayo Ina viongozi waongo sana viongozi waliokuja wakawadanganya Umma kuwa watamsajili Manzoki na Kwenye mkutano watamleta lakini hawajamleta.

Siwezi kuishangilia timu ambayo kupata matokeo point tatu muhimu mpaka itume shabiki akafukie vitu kwenye goli la timu pinzani.

Siwezi kuishangilia timu ambayo viongozi wake wakisiki timu pinzani (mtani) kaweka bajeti yake kiasi Fulani basi na WAO wanapandishia kwa juu ili kuwafariji mashabiki.

Ni ngumu mno NALIA NGWENA kuishangilia timu ambayo Wanafanya usajili wa buku jero Kama alivyosema aliyekua kiongozi WAO kaduguda.

Kwa kweli siwezi kuishangilia timu ambayo boss wao tajiri (muhindi) mbahili mno huwa anajitokeza na kuinanga timu pamoja na mashabiki.

Nasema siwezi Tena siwezi na sikubali kushangilia timu ambayo toka ianze safari ya kupambana kimataifa inaishia Robo robo tu.

Asalam alykum! Karibu sana timu yangu ya toka utotoni Al ahly karibu kwa Mkapa uwanyooshe /kata mkia watoto wa Mudi.
Aliyekwambia ushabgilie Simba na mjinga tu kama wewe.

Kwa hapo bongo umri ulionao tayari utakuwa na timu.

Kwani wewe ni ke au me?nina maana yangu kukuuliza.
 
mapendo daimaaaa🤗🤗🤗🤗
 

Attachments

  • Screenshot_20240328_080303_Instagram.jpg
    Screenshot_20240328_080303_Instagram.jpg
    147.8 KB · Views: 1
Back
Top Bottom