Mimi Kuna Kitu Kinanichanganya Sana Kwenye Hii Serikali Yetu

Mimi Kuna Kitu Kinanichanganya Sana Kwenye Hii Serikali Yetu

Blender

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2022
Posts
4,870
Reaction score
8,035
Mimi Kuna Kitu Kinanichanganya Sana Kwenye Hii Serikali Yetu

Wanasema Mimba Na Mtoto Ni mali ya Serikali Lakini Kwanzia Ujauzito Na Mtoto Unahudumia Wewe Sasa Kwanini Kama Mtoto Ni mali ya Serikali Usiwekwe Mfumo Wa Kuwalipa Wazazi Posho Za Malezi Ya Mtoto/ Watoto Wao? Hapo Nachoka Kabisa.

Au Wana Jf mumeelewaje hii serikali?!

20240921_124917.jpg
 
Back
Top Bottom