covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Figisu kwa team ya young African zilianza kwenye match dhidi ya azam ile match tulioangalia wote tutakubaliana hapa kuwa azam alipania kuwaumiza wachezaji nyota wa young African kwa makusudi ili kuwakomoa kutokana na mgogoro uliokuwa umeibuka baina ya team hizo mbili na kupelekea yanga kupata majeruhi wawili ambao ni tegemezi yaoyao na pacome.
Mchezo ule umeigharimu yanga kwenye ligi ya mabigwa pakubwa sana.
Bila yanga kuwa wapole siku ile hali ingekuwa mbaya zàidi.
Mchezo ule umeigharimu yanga kwenye ligi ya mabigwa pakubwa sana.
Bila yanga kuwa wapole siku ile hali ingekuwa mbaya zàidi.