Mimi leo naitwa Mganga wa Kienyeji

Mimi leo naitwa Mganga wa Kienyeji

Kuna dada nimevunja nae mahusiano ya kimapenzi ila nae kaamua kulipiza kisasi kwa kuchapisha mabango na kuweka namba yangu ya simu kwa chini akisema ni mganga toka sumbawanga anayetibu nguvu za kiume na kuangamiza wachawi.Nifanyeje?
Hela hiyo Babu, anajua amekukomoa kumbe ndo amekusidia kulainisha Hali, we sema unatibu hata kwa simu wakurushie hela unawatumia masizi na vifuu vya nazi
 
Ni fursa itumie vema ili kazi iendelee ...
Kaka usimdanganye ajiingize huko maana wachawi hawajaribiwi kama alivyokuwaga yule mzee.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hapo mtaani wachawi lazima wamjaribu waone kama kweli ni mganga sasa hapo ajiandae na kifiro!

Hii inanikumbusha miaka ya nyuma kuna jamaa aliibuka kijijini kwetu akitokea mkoa flani hivi akajitangaza nabii eti ameshukiwa na roho mtakatifu ana uwezo wa kuangamiza wachawi wote wa eneo hilo lakini cha ajabu baada ya siku tatu alikutwa asubuhi amelala mkundu juu uchi chini ya mwembe huku hajitambui halafu kachanjwa chale za makalio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]

Ndugu zake wakamsafirisha fasta sijui kama alipona
 
Kaka usimdanganye ajiingize huko maana wachawi hawajaribiwi kama alivyokuwaga yule mzee.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo mtaani wachawi lazima wamjaribu waone kama kweli ni mganga sasa hapo ajiandae na kifiro!
Hii inanikumbusha miaka ya nyuma kuna jamaa aliibuka kijijini kwetu akitokea mkoa flani hivi akajitangaza nabii eti ameshukiwa na roho mtakatifu ana uwezo wa kuangamiza wachawi wote wa eneo hilo lakini cha ajabu baada ya siku tatu alikutwa asubuhi amelala mkundu juu uchi chini ya mwembe huku hajitambui halafu kachanjwa chale za makalio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Ndugu zake wakamsafirisha fasta sijui kama alipona
[emoji23][emoji23][emoji23]usijali nitampa kinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka usimdanganye ajiingize huko maana wachawi hawajaribiwi kama alivyokuwaga yule mzee.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hapo mtaani wachawi lazima wamjaribu waone kama kweli ni mganga sasa hapo ajiandae na kifiro!

Hii inanikumbusha miaka ya nyuma kuna jamaa aliibuka kijijini kwetu akitokea mkoa flani hivi akajitangaza nabii eti ameshukiwa na roho mtakatifu ana uwezo wa kuangamiza wachawi wote wa eneo hilo lakini cha ajabu baada ya siku tatu alikutwa asubuhi amelala mkundu juu uchi chini ya mwembe huku hajitambui halafu kachanjwa chale za makalio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]

Ndugu zake wakamsafirisha fasta sijui kama alipona
Doh!!! Watu wakampelekea moto nabii
 
Kuna dada nimevunja naye mahusiano ya kimapenzi ila naye kaamua kulipiza kisasi kwa kuchapisha mabango na kuweka namba yangu ya simu kwa chini akisema ni mganga toka Sumbawanga anayetibu nguvu za kiume na kuangamiza wachawi.

Nifanyeje?
Chapisha na wewe bango la kukanusha uwe unaweka kila alikobandika
 
Chapisha na wewe bango la kukanusha uwe unaweka kila alikobandika
Unanikumbusha uchaguz mkuu nilikuwa ktk timu ya kampen ya mgombea ubunge upinzan,ktk mpango mkakat wa kumchafua mgombea wa chama tawala tukatengeneza mabango kuwa kabomolewa tukabandika ktk mistimu yote pale jimbon wakat tunakaribia kumaliza tukapata taarifa kutoka kwa wenzetu kuwa maeneo yote tuliyobandika mabandiko yetu hayapo na yamebandikwa ya mgombea wetu kuwa mchicha mwiba ikawa balaa baada ya kuendelea kubandika tukalazimika kuanza mchakato wa kutafuta mabango yote yanayomuhusu mgombea wetu na kuyatoa kabla hayajaonekana.
 
Back
Top Bottom