Mimi leo napita tu!!!

Nguvu moja

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
3,371
Reaction score
2,713
No comment.... [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125]
 
Hayo maajabu nimekutana nayo leo hii na usiku huu.
Kariakoo.
 
Ndo nani huyo mng'oa kucha wakuu, alikuwa nani nchi hii?
 
Huyu mng’oa kucha ni nani? Naona jina lake lina -trend sana humu ndani
 
Mkorogo ama ugojwa??


Mkuu umepata habar za mtu naitwa mng'oa kucha?
Bado sijazipata mkuu hizo taarifa... Hila naona hizo habari humu Jf zimeenea sana... Hebu mnijuze kwanza huyo mng'oa kucha ni binadamu au shetani mkuu?
 
HUjamueleza ni nani?
Naogopa hata kumtaja lakini kuna HAKIMU hapa Dar alimletea za kuleta akaleta Uzi humu akisema mwezi Wa mwisho kuumaliza ni January, na akatuma wanaomfahamu huyo HAKIMU wakamwambie, hamadi Jana HAKIMU karest in peace.

##KATUBU USAMEHEWE##
 
Bado sijazipata mkuu hizo taarifa... Hila naona hizo habari humu Jf zimeenea sana... Hebu mnijuze kwanza huyo mng'oa kucha ni binadamu au shetani mkuu?
Ni mtu mmoja kachukua kombe la mshana jr hiv hiv tukishuhudia
 
No comment.... [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125]
Huenda Huyu mama ni mgonjwa na wala cyo kajipaka kama Wewe ulivyoona

Naona na vidole vya mikono viko kama alivyo usoni

Ungemuacha tu mama wawatu kuliko kumpiga picha na kuja kumdhalilisha umu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…