Kazi kweli kweliNakwenda kumhubiria "house Nigger" ajikomboe toka kwa mwarabu,
"House Nigger ukimwambia toka ujikomboe atakwambia hapa Mimi nalishwa na mzungu,napewa mkate na maziwa,nikitoka niende kujikomboa nani atanipa mkate na Maziwa!?"-Malcom x
Karibu sanaUsitujazie saver. Kachukue fomu na uombe Mungu ukute bwana yule kaamka powa. Hiyo ndiyo salama yako..
Mkoa huu kwa ulozi, mjerumani mwenyewe alikaa kando, Gamboshi itasubiri.. 😀Uko tayari kulogwa ?
Hivi hilo jimbo shida yao ni mabasi ya misiba tu?Siyo umeanza kampeni asubuhi mkuu. Jimbo lipo, walugulu wapo, ingawa mazingira yake ni magumu, sijui utawaambia kitu gani kuhusu yale mabasi ya misiba.
Maswali mazuri Sana haya1. Utatumia njia gani kuifanya hiyo morogoro kuwa kama Kariakoo?
2. Je utaweza kupageuza kuwa K/Koo kwa muda gani na kwa bajeti gani?
3. Morogoro mjini kuna changamoto kubwa ya maji, je umeweka mikakati gani kuondoa hilo tatizo?
4. Huduma za elimu na afya ni changamoto haswa magari ya kubeba wagonjwa na vituo vichache vya afya. Umejipanga vp kutatua hilo?
5. Barabara nyingi ni za vumbi una mkakati gani kuboresha?
6. Je una sera gani kuhusu mazingira yaliyoharibika ya Morogoro kama ukipewa dhamana ya kuwa mbunge?
7. Je mipango yako ya kuibadilisha Morogoro inaendana na sera ya uchaguzi ya Chama ya mwaka 2015-20 au umeitoa tu kichwani?
8. Morogoro ni mkoa ambayo ni Big 6 ya kulisha nchi kwa kupitia kilimo. Kwa nini unataka uibadilishe kuwa mji wa wachuuzi tofauti na mipango ya Serikali
9. Je unafahamu kazi za Mbunge ukiwa kama msomi wa Chuo Kikuu?
10. Je mipango unayopanga ina chanzo cha mapato ya kuiwezesha kuifanya na vyanzo hivyo ni vipi?
NAOMBA UYAJIBU HAYO MASWALI KUMI KWANZA
Kuna watu watasema Abood anatoa mabasi ya kuzikia,Abood ametoa ambulance,Abood ana redio na tv lakini hii sio hoja,
Hoja ni kipato cha mtu mmoja mmoja kwa Mwananchi wa Morogoro,ajira hakuna ,hivi ndio vitu vinavyotakiwa vipigiwe kelele ikiwezekana Mh Rais Magufuli achukue Viwanda vyote na vifufuliwe watu wapate ajira. Mh Rais alikuja Morogoro 2016 akasimama Msamvu akasema Viwanda alivyouziwa Abood vianze kufanya kazi mara moja lakini huu Mwaka wa tano Viwanda bado havijaanza kufanya kazi.
Pesa Huna na digrii za kuunga. Hoja Huna.Kumbe ili kuwa Mbunge unatakiwa kuwa na digrii ya UD. Sikujua hilo. Mbona Kibajaji wa Mtera ana darasa la saba tu. Mbona Msukuma hana darasa la saba na ni Mbunge. Mbona majimbo kibao tu ni wabunge bila kuwa na digrii na wengi tu wana digrii za vyuo vingine. Hivi na Abood ana digrii ua UD?
Mwacheni kumkatisha jamaa. Aende akajaribu bahati yake.
Waluguru hawapendani wao kwa wao, na hawapendi mtu masikini afanikiwe, yaani wewe kama kapuku sahau kupata kura.Hivi hilo jimbo shida yao ni mabasi ya misiba tu?
Kuna watu watasema Abood anatoa mabasi ya kuzikia,Abood ametoa ambulance,Abood ana redio na tv lakini hii sio hoja,
Hoja ni kipato cha mtu mmoja mmoja kwa Mwananchi wa Morogoro,ajira hakuna ,hivi ndio vitu vinavyotakiwa vipigiwe kelele ikiwezekana Mh Rais Magufuli achukue Viwanda vyote na vifufuliwe watu wapate ajira. Mh Rais alikuja Morogoro 2016 akasimama Msamvu akasema Viwanda alivyouziwa Abood vianze kufanya kazi mara moja lakini huu Mwaka wa tano Viwanda bado havijaanza kufanya kazi.
Kumbe ndio maana, ni Mzumbe product! Kazi ipo, hivi ile kashfa ya kuuza degree iliishsje hapo??ELIMU YANGU
Elimu ya chuo kikuu Shahada ya uzamili katika Utawala na Uongozi, Mzumbe
University Dar es Salaam.
Morogoro Mjini inahitaji mtu mwenye muono tofauti na muono alionao Abood hivi sasa,Abood juzi kilosa anasimama anasema Mh Rais Wananchi wa Morogoro wamenituma kukushukuru kwa kutuletea ambulance na helikopta kuchukua wagonjwa hospital kubwa kuwapeleka Muhimbili!
Nakwenda kumhubiria "house Nigger" ajikomboe toka kwa mwarabu,
"House Nigger ukimwambia toka ujikomboe atakwambia hapa Mimi nalishwa na mzungu,napewa mkate na maziwa,nikitoka niende kujikomboa nani atanipa mkate na Maziwa!?"-Malcom x