Mimi LONDON BOY nawatakia siku kuu njema ya wapendanao na siku njema ya majivu

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Kama kichwa cha habar kinavyo someka hapo juu

Aman iwe nanyi wapendwa

Mimi BOY FROM LONDON nawatakia siku kuu njema ya wapendanao

Nawatakia kupendana kwema, mpendane had siku ya kiama na mungu abariki upendo wenu

Pia vile vile nawatakia siku njema ya upako wa majivu

Mbalikiwe sana wapendwa mimi nawapenda sana wana JF WENZAGU

sikukuu njema wote


LONDON BOY
 
Na kwako pia LB.BB
 
Oky kwann hujamtag Wifiii yangu jaman au unataka kuchepuka na mtu mwingine alafu kesho uamke domo limevimbaaa kwa kuchezea virungu

Alafu mbn hujanipa information za shule ndo umeamua kukaa mtaani tu tafadhali usje kuwa mariooo bureee
 
Oky kwann hujamtag Wifiii yangu jaman au unataka kuchepuka na mtu mwingine alafu kesho uamke domo limevimbaaa kwa kuchezea virungu

Alafu mbn hujanipa information za shule ndo umeamua kukaa mtaani tu tafadhali usje kuwa mariooo bureee
Wifi yako hanaga noma sana vile

Shule niko natafuta kwa sasa

Bora nimekuona maana niliumia sana pale ulipopigwa ban
 
Chuo leo utaenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…