Mimi Masudi Kipanya na safari yetu ya miaka 100

Heshima kwako Mzee Mohamed
Haya mapichapicha umemaliza, kabisa
Kweli haihitaji kumdhihaki, bali kumtesa na ukweli wa uhalisia ya maisha yako
Yeye kabanana kwenye kichumba cha kupanga... oooppps!!!! ulimi umetereza......
 
Inawezekana simu aliyotumia kupiga picha ilyopgwa ndo inaonyesha tarehe hyo...
Si mtetei ila mzee katumia busara na hekima kuwapa majibu vijana
Luis...
Hiyo picha ni copy ya picha niliyopiga mwaka 1991 kwa camera za kuweka film.

Hii niliyoweka hapa ni copy kutoka digital camera yenye tarehe na saa.
 
Nakukubali sana mzee wangu vijana tuwahitaji sana watu wa Kariba yako ili kuijenga vema nchi yetu.
Karibu na kwetu kaskazini maana huku wazee wetu wamejitahidi sana kuihifadhi historia yetu na kutupa mwongozo wa kuitengeneza kesho iliyonjema
Dp800,
Nilikuwa Kilimanjaro mwaka jana kwa ajili ya utafiti na nimeandika kitabu kutokana na utafiti huo.
 
Kuleta uongo wa kidini kwa kuwataja anaowaita wazee wake, akina Abdul Sykes

Mzee bado ana ushamba sana[emoji90][emoji90][emoji90]
Mwamba umemvaa tena mzee wetu said
[emoji23]

Ova
 
Mzee,wewe Ni mtu makini..na msomi mwenye kujitambua..japo natofautiana na wewe mambo flani flani..lakini nakuheshimu Sana..
Ikitokea ukatangulia..watu wengi watasema ukweli huu
Ni wale unaweza waita pia kama wazee wa saigon

Ova
 
Udini ukizidi hugeuka ujinga ndio kinachotokea kwako.
 
Udini ni ujinga ndio kinachotokea kwako.
Teen...
Hapana hakuna udini katika niandikayo.

Mimi nimesahihisha historia ambayo ilikosa ukweli kwa kuwaacha wazalendo wengi waliopigania uhuru wa Tanganyika.

Hili huenda lilisasababishwa na uoga kuwa wengi waliokuwa mstari wa mbele katika TANU walikuwa Waislam ikaonekana bora historia hii ichakachuliwe.

Kuandika historia ya kweli haiwezi kuwa udini.
 
hapana mzee. Bali nilichoandika kimemlenga huyo niliyemquote sababu yeye ndio ameingiza udini kwenye mada.
 
Mzee Said Mohamed wewe ni mwamba hasa wa fasihi
 
Mzee Said Mohamed wewe ni mwamba hasa wa fasihi
Last Emperor,
Prof. Ally Mazrui alialikwa kuzungumza Cornell University New York.

Ilikuwa kuhusu sakata la Salman Rushdie.

Aliyemkaribisha na kumtambulisha alimpamba mno.

Basi Prof. aliposimama kuzungumza akamshukuru yule bwana kwa maneno haya: "Thanks for that generous introduction. "
 
Asante Mkuu.. umenikumbusha kuhusu Prof Mazrui, kuna kitabu chake matata sana kinaitwa The Trial of ....(nimesahau). Yule bwana ni genius
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…