Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Mwnangu umetoa dozi ya kutosha kwa mzee mwenzangu ambaye utumwa wa kidini ulimharibu kiasi cha kutojua asubuhi ni lini na usiku ni lini. Nadhani ametoa uzi huu akidhani naye ni maarufu kiasi cha kuhangaisha watu wakijadili mkutano wake na Masudi. Nadhani angeeleza hoja au cha mno cha mkutano huu kwa jamii, ingependeza.Kwahiyo hii ni taarifa kabla ya habari au taarifa baada ya habari?
U met Masudi Kipanya in the library, so what? What have u two talked?
Isije kuwa ni ule uzushi wako na uongo uliozoea kuumwaga redio Nur, Iman na zingine za dini yako.
Kwa hapa hutaweza kutusokota nakuambia babu,
Sawa sawa???
Obe...Mzee Mohamed, hongera sana kwa kutujuza na kutupatia mafunzo mengi kupitia makala zako! Barikiwa sana! Hakika wewe ni Manju Uliyebobea katika Mawanda Mapana ya Historia, Uandishi Vitabu, Habari na Makala Mbalimbali! [emoji120]
Father...Mwnangu umetoa dozi ya kutosha kwa mzee mwenzangu ambaye utumwa wa kidini ulimharibu kiasi cha kutojua asubuhi ni lini na usiku ni lini. Nadhani ametoa uzi huu akidhani naye ni maarufu kiasi cha kuhangaisha watu wakijadili mkutano wake na Masudi. Nadhani angeeleza hoja au cha mno cha mkutano huu kwa jamii, ingependeza.
Forest...Haha Babu acha kutuchekesha eti "kipara ngoto"
Kweli Babu Asante na ubarikiwe,,pole kwa Funga ya leoForest...
Sasa mimi babu yako wajibu wangu si kukuchekesha?
Forest...Kweli Babu Asante na ubarikiwe,,pole kwa Funga ya leo
Watu wanaomtetea huyu Mzee hawamfahamu vizuri ndio manaMwnangu umetoa dozi ya kutosha kwa mzee mwenzangu ambaye utumwa wa kidini ulimharibu kiasi cha kutojua asubuhi ni lini na usiku ni lini. Nadhani ametoa uzi huu akidhani naye ni maarufu kiasi cha kuhangaisha watu wakijadili mkutano wake na Masudi. Nadhani angeeleza hoja au cha mno cha mkutano huu kwa jamii, ingependeza.
hekoOto...
Sina kawaida ya kumkejeli mtu wala kujaribu kumfanya ajihisi si lolote si chochote.
Hapakuwa na haja ya hiyo ''kwikwikwi.''
Hakuna radio mashuhuri duniani ambayo haijanitafuta kufanya mahojiano na mimi.
View attachment 1755319
Hapa niko BBC Glasgow, Scotland 1991
View attachment 1755320
Hii ni V o A Washington 2011
View attachment 1755324
Radio Iran, Tehran 2007
View attachment 1755325
Hawa ni TBC 7 April 2021
View attachment 1755326
AZAM TV 2015
Father...Kumbe unajipigia debe! Haya kaka endelea.
Mdukuzi,Huyu mzee anajua historia ya kariakoo tu sio tanzania nzima
Umesoma historia kwenye chuo kikuu kipi?Mdukuzi,
Nimesoma historia kwa kiwango cha chuo kikuu.
Nimeandika vitabu 10.
Nimeshiriki katika kuandika Dictionary of African Biography (DAB) mradi wa Harvard na Oxford University Press, New York nikiwa pia mshauri.
Hii ni kamusi ya volumes 6 na imeshachapwa 2011.
Nimeshiriki katika mradi wa kuandika historia ya nchi za Afrika Mashariki kwa shule za msingi.
Kitabu changu kimechapwa mwaka wa 2007.
Sijui historia ya Kariakoo bali naijua historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika na hii ni historia ya wazee wangu wao ndiyo walioasisi African Association 1929 na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) 1933 na kuunda TANU 1954.
Kariakoo ndiyo yalikuwa makazi ya hawa babu zangu na mimi nimezaliwa hapo.
HongeraMdukuzi,
Nimesoma historia kwa kiwango cha chuo kikuu.
Nimeandika vitabu 10.
Nimeshiriki katika kuandika Dictionary of African Biography (DAB) mradi wa Harvard na Oxford University Press, New York nikiwa pia mshauri.
Hii ni kamusi ya volumes 6 na imeshachapwa 2011.
Nimeshiriki katika mradi wa kuandika historia ya nchi za Afrika Mashariki kwa shule za msingi.
Kitabu changu kimechapwa mwaka wa 2007.
Sijui historia ya Kariakoo bali naijua historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika na hii ni historia ya wazee wangu wao ndiyo walioasisi African Association 1929 na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) 1933 na kuunda TANU 1954.
Kariakoo ndiyo yalikuwa makazi ya hawa babu zangu na mimi nimezaliwa hapo.
Mdukuzi,Hongera
Tatizo moja wewe Masudi Kupanga ni mnafiki namba moja Tanzania.KUTOKA DHUHR HADI ALASIRI NA MASUDI ''MTU SPECIAL'' KIPANYA
Leo ilikuwa siku makhsusi yaani special sana kwangu kwa kuwa katika chumba kimoja na Masudi Kipanya na vijana wake ''sharp'' wa Clouds Plus.
Hiki kwa hakika si chumba kwa maana ya chumba kama tulivyozoea bali ni Maktaba ya Elite Bookstore Mbezi Samaki.
Masudi Kipanya alinikaribisha ndani ya Maktaba hii nadhifu sana si kwa kuangalia na kusoma vitabu bali kwa ajili ya kufanya kipindi cha televisheni.
Mvua kubwa iliyonyesha kipindi cha adhuhuri kwa kiasi cha saa moja hivi ilitosha kunionya kuwa ile ilikuwa tahadhari kwangu kwa mfano wa ''thunder and lightning,'' (radi na kimulimuli) katika mchezo wa Mcbeth kuwa mchana wangu hautakuwa wa kawaida.
Kwa muda wa saa mbili Masudi Kipanya akitembea katika mengi niliyopata kuandika katika historia ya Tanganyika alinirudisha nyuma miaka 100 hapa hapa Dar es Salaam ya 1920s akitaka kujua maisha ya wazee wangu waliosukuma gurudumu la historia ambayo si wengi wanaifahamu.
Masudi Kipanya kama ni mchezo wa masumbwi nitamwita, ''South Paw,'' kwa jinsi alivyonitaabisha na maswali ya kushtukiza na wakati mwingine kunibana nisema nisiyopenda kusema na wakati mwingine kunitoa kwa haraka katika niliyodhani yangefaa kusemwa.
Muda ulikwenda kwa haraka sana jua likazama nikiwa sina habari na hatujamaliza safari yetu ya miaka 100.
View attachment 1755166
Hili ni povu...toa sababuTatizo moja wewe Masudi Kupanga ni mnafiki namba moja Tanzania.
Natoa sababu ipi kwenye povu?.... Jamaa ni mnafiki tu, Nukta.Hili ni povu...toa sababu