Mimi mgeni huku. Naomba company yenu

Mimi mgeni huku. Naomba company yenu

Umefanya nicheke kwa Sauti Mdogo wangu.Lol πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.

Atoke wapi eti? Hakuna. πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨
Hivii unajua unavyonimwambafay hivii navimba kichwa??
 
Hivii unajua unavyonimwambafay hivii navimba kichwa??
Yap vimba tu na ndio faida ya fake Id's yaani hata babu yako waeza muita mdogo wangu na akaitikia. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hivyo umepatia kabisaa mdogo wangu. Hakuna.
 
Huna picha ingine ukionekana full ?
Hiyo imeungua huonekani vizuri
Hiii
temp_photo.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom