nethighlife
Member
- Aug 11, 2016
- 55
- 22
Nashukuru sana. Nikiwa na jambo nitaleta humu.Unataja ufundishwe kitu gani hasa..karibu sana wakaribishe na wengine
ShukraniKrb sana JF....
Tatizo lako umeanza na uzi kabla ya picha yako ndo maana hukaribishwi kwa heshma!!ila kwangu mimi karibu sana mkuu!!swali kwako we ni ke au ni me!!Hodii, habari za leo ndugu.
Leo ndo nimejiunga, naomba mnifundishe namna ya kutumia JF, naona vitu tofauti na mitandao mingine.
But all in all im happy to be in this site.
Picha yangu hiyo hapo kwenye profile.Tatizo lako umeanza na uzi kabla ya picha yako ndo maana hukaribishwi kwa heshma!!ila kwangu mimi karibu sana mkuu!!swali kwako we ni ke au ni me!!
Ok!!kumbe we ni me!!hongera mkuu!!sory nilikuwa sijaangalia prfl!!Picha yangu hiyo hapo kwenye profile.
Ok.Ok!!kumbe we ni me!!hongera mkuu!!sory nilikuwa sijaangalia prfl!!
Yap kwani hukuona picha hapo profile?Kumbe mee..