Hod umu ndan.... kwa heshima na taadhima naomba kukaribishwa umu ndan udambwiudambwi na udagadagaa wa umu jamvin umenivuti....naomba kukalibishwa tafadhali....
Hod umu ndan.... kwa heshima na taadhima naomba kukaribishwa umu ndan udambwiudambwi na udagadagaa wa umu jamvin umenivuti....naomba kukalibishwa tafadhali....
Mwenzaka alikuwa anqjiita baraka govi amelambwa ban kwanza, halafu amebatizwa jina upya na mods sasa anaitwa Baraka G, kwa hiyo akitoka segerea ataona jina jipya, na wewe kiandae kuitwa Mkulu P.
lol!!! si ajabu ndiye huyu huyu karudi kwa mlango wa uani.
Mwenzaka alikuwa anqjiita baraka govi amelambwa ban kwanza, halafu amebatizwa jina upya na mods sasa anaitwa Baraka G, kwa hiyo akitoka segerea ataona jina jipya, na wewe kiandae kuitwa Mkulu P.
Karibu hadi ndani sheikh,fungua huko nyuma upakuliwe Kama una njaa,alafu ukaoge,ili kesho tukupeleke kwa balozi wa nyumba kumi Alhaji Mfirani akushugulikie mambo ya ukazi,nadhani utafurahi sana,huu ndiyo ukarimu wa huku kwetu Unakazwa.
Jina lako ulilojipa mwenyewe linaeleza fika wewe ulivyo. mf Bhanunu kwa kingoni ni mwanaume mwenye tabia za kike au bwabwa.
Mkulupumbu kwa kidigo ni yule mwanamme anaepiga ngoma. kwenye ngoma ya ndani ya wanawake ambayo huchezwa uchi. maranyingi wanakuwaga nao ni kama wanawake.
Masaga P. kwa kikurya ni mtu anaependa kuingia uvinza.
Bategereza kwa kikwetu ni mtu msikivu sana na mwenye ng'ombe wengi sana.
So you know m