Mimi mwanaume mweupe, napenda sana wanawake weusi. Je, ni mimi tu au?

Mimi mwanaume mweupe, napenda sana wanawake weusi. Je, ni mimi tu au?

Jamani Sio Bikra Tena...Saiv imekuwa Rangi[emoji2][emoji2][emoji2]
Mi napenda mwenye Chura KG 100
 
Yeah wanaume weusi napenda
Nilishangaa sana nilipomuona mkaka alikuwa mweusi sasa amekuwa mweupeee na ameingia mjengoni mwaka huu
Daah sijui mwaume yule alikwama wapi mpk kujichubua
 
Kiukweli linapokuja swala la mwanamke kwangu inabidi awe mweusi kwakweli.

Huwa inanipa hisia za ushindi kwamba nimepata mwanamke adimu ambaye hajajichubua na ni mwafrika orijino.

kwa sasa nimeo na mke wangu ni mweusi, na hata hapo zamani nilikuwa kinganganizi msumbufu mno kuhakikisha binti mweusi hatoki nje ya 18 zangu.

Nashangaa sana watu wengi wanavyousifia weupe ila binafsi mwanamke mweusi ndio kigezo cha kwanza kwenye mahusiano,

Sina maana ya kuponda wadada weupe, hapana! lakini ndo ivyo tena tupo tofauti.
Hata mimi napenda saaana wanawake weusi hata kuhonga kwa mwanamke mweusi nakata pochi ya kutakata. Wabarikiwe wanawake weusi wasioharibu rangi yao ya asili.
 
Kiukweli linapokuja swala la mwanamke kwangu inabidi awe mweusi kwakweli.

Huwa inanipa hisia za ushindi kwamba nimepata mwanamke adimu ambaye hajajichubua na ni mwafrika orijino.

kwa sasa nimeo na mke wangu ni mweusi, na hata hapo zamani nilikuwa kinganganizi msumbufu mno kuhakikisha binti mweusi hatoki nje ya 18 zangu.

Nashangaa sana watu wengi wanavyousifia weupe ila binafsi mwanamke mweusi ndio kigezo cha kwanza kwenye mahusiano,

Sina maana ya kuponda wadada weupe, hapana! lakini ndo ivyo tena tupo tofauti.
Kwangu ipo tofauti, lakini sio mbaya kutofautiana, mimi rangi yoyote ile ila nyeupe ni zaidi,
 
Kwa wale wenzangu tunaopenda Wanawake weusi jee mnaona kama mimi hizi pisi?
JamiiForums-376897747.jpg
JamiiForums-135490289.jpg
JamiiForums1735771363.jpg
JamiiForums-1697445146.jpg
JamiiForums815418710.jpg
JamiiForums815694759.jpg
JamiiForums1486906659.jpg
 
Nlikua nashanunau...KIKOPO CHA WHITENING CREAM kutika CONGO..

Basi nimekitupilia mbali
 
Pia wanawake wengi hatupendi wanaume weupe,sio utani et
Una uhakika na unachokisema mkuu...
Chunguza vizuri leo hii wanaolizwa na mapenzi ni black men than white
Coz white is beatiful&attractive while
Black is beautiful but not attractive...
 
Una uhakika na unachokisema mkuu...
Chunguza vizuri leo hii wanaolizwa na mapenzi ni black men than white
Coz white is beatiful&attractive while
Black is beautiful but not attractive...
We have different perceptions,binafsi sipend wanaume weupe pia nimejarbu kuona asilimia kubwa ya wanawake hawapendi white guys
 
Back
Top Bottom