Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni msukuma ila navutiwa na wale weusi tii. Inawezekana huwajui watani wako vizuri.Hapa sijui utawaambia nini watani zangu Wasukuma. [emoji3][emoji3][emoji3]
Mana wao huwaambii kitu kwa hao weupe.
Itakuwa hivyo basi.Mimi ni msukuma ila navutiwa na wale weusi tii. Inawezekana huwajui watani wako vizuri.
Hata mimi napenda saaana wanawake weusi hata kuhonga kwa mwanamke mweusi nakata pochi ya kutakata. Wabarikiwe wanawake weusi wasioharibu rangi yao ya asili.Kiukweli linapokuja swala la mwanamke kwangu inabidi awe mweusi kwakweli.
Huwa inanipa hisia za ushindi kwamba nimepata mwanamke adimu ambaye hajajichubua na ni mwafrika orijino.
kwa sasa nimeo na mke wangu ni mweusi, na hata hapo zamani nilikuwa kinganganizi msumbufu mno kuhakikisha binti mweusi hatoki nje ya 18 zangu.
Nashangaa sana watu wengi wanavyousifia weupe ila binafsi mwanamke mweusi ndio kigezo cha kwanza kwenye mahusiano,
Sina maana ya kuponda wadada weupe, hapana! lakini ndo ivyo tena tupo tofauti.
Washamba sanaHapa sijui utawaambia nini watani zangu Wasukuma. [emoji3][emoji3][emoji3]
Mana wao huwaambii kitu kwa hao weupe.
Kwangu ipo tofauti, lakini sio mbaya kutofautiana, mimi rangi yoyote ile ila nyeupe ni zaidi,Kiukweli linapokuja swala la mwanamke kwangu inabidi awe mweusi kwakweli.
Huwa inanipa hisia za ushindi kwamba nimepata mwanamke adimu ambaye hajajichubua na ni mwafrika orijino.
kwa sasa nimeo na mke wangu ni mweusi, na hata hapo zamani nilikuwa kinganganizi msumbufu mno kuhakikisha binti mweusi hatoki nje ya 18 zangu.
Nashangaa sana watu wengi wanavyousifia weupe ila binafsi mwanamke mweusi ndio kigezo cha kwanza kwenye mahusiano,
Sina maana ya kuponda wadada weupe, hapana! lakini ndo ivyo tena tupo tofauti.
Nawapenda sana wadada weusi.....ukiwakumbatia dushe halilali...muda wote mnara unasomaNlikua nashanunau...KIKOPO CHA WHITENING CREAM kutika CONGO..
Basi nimekitupilia mbali
Dooohh...hi kaliNawapenda sana wadada weusi.....ukiwakumbatia dushe halilali...muda wote mnara unasoma
Una uhakika na unachokisema mkuu...Pia wanawake wengi hatupendi wanaume weupe,sio utani et
We have different perceptions,binafsi sipend wanaume weupe pia nimejarbu kuona asilimia kubwa ya wanawake hawapendi white guysUna uhakika na unachokisema mkuu...
Chunguza vizuri leo hii wanaolizwa na mapenzi ni black men than white
Coz white is beatiful&attractive while
Black is beautiful but not attractive...