Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
Hao unaowataja ni miungu ya Kiarabu na Kiyahudi. Yupi wapi Mungu wenu wa Kibantu????Waislamu,,,na waarabu wanafundishwa na mungu wao propaganda dhidi ya wakrsto na wayahudi.
LAKINI BAHATI MBAYA ALLAH MUARABU HANA NGUVU KUMZIDI YEHOVA MYAHUDI.
NB: HII IPO MIAKA ZAIDI YA 1700 MPAKA LEO ALLAH KASHINDWA KUPOTEZA KIZAZI CHA WAYAHUDI
ila ubogas wako wa kiwango cha lami
Watu kama nyinyi mara nyingi huishia tu kuingizwa kwenye Toyota Crown. Maana dalili zote ziko wazi.unabishana na quran ? unamkufuru mungu wako kisa wapalestina
Wewe na mashoga wa kizayuni ndiyo mpo sahihi. 80 kwa mia ya dunia inakosea.
Unajua Putin alichokifanya Bucha? alisafisha yote. Vita vya Ukraine na hivi vya Gaza ni tofauti. Urusi anapigana na Jeshi la Ukraine(ingawaje raia wanakufa). Hamas wamejificha katikati ya raia na wanafanya mashambulizi kutokea huko, hakuna namna wataacha kufa, tena hata wakifa inasemekana ni raia kwa sababu mara nyingi hata hawavai uniforms. Israel kapigana kiungwana sana kwenye hii vita.Putin haui watoto na akina mama kwa mabomu. Yeye anashambulia maghala ya silaha zinazoletwa Ukraine kutoka kwa wauzaji wa hizo silaha.
Zaidi ya hapo wanapambana wenyewe kwa wenyewe. Ni aghalabu kuona wanawake na watoto wakiuwawa kikatili kama wafanyavyo hao Mayahudi.
waambieni hamas wasitumie Makazi ya Watu kupigana Vita, la sivyo wataisha hadi mayai ya uzazi.Yeah, nakuunga mkono sana.. ndomaana ukichunguza vifo vingi vitokanavyo na vita ya Ukraine ni wanajeshi raia wachache sana.
Lkn Israel haijamaliza hata siku 40 washakuja raia zaidi ya elfu kumi na mbili.