Mimi Mwarabu na sielewi kwanini ulimwengu hauwezi kukubali maumivu ya Kiyahudi

Mimi Mwarabu na sielewi kwanini ulimwengu hauwezi kukubali maumivu ya Kiyahudi

Mkuu mimi mimeisoma biblia na qur'an. Tena sana...
Sipendi malumbano kwa kuwa najua udhaifu mkubwa kwenye baadhi ya maandiko. Hukohuko unakoamini!
Wewe umesoma biblia na umeona madhaifu.
Na wengine wamesoma quran ya kiarabu wameona madhaifu huko huko unakoamini.
Hakuna shida🤣🤣
 
Yeah, nakuunga mkono sana.. ndomaana ukichunguza vifo vingi vitokanavyo na vita ya Ukraine ni wanajeshi raia wachache sana.

Lkn Israel haijamaliza hata siku 40 washakuja raia zaidi ya elfu kumi na mbili.
Lakini pia hatujasikia askari wa Ukraine wanajificha mashuleni na mahospitalini.
 
Mwandishi anaongelea wayahudi wa asili, hawa waliopo Israel sasa hivi ni ashkenazi, hawana asili ya kiyahudi.

Ndiyo maana mpaka leo hawataki kabisa na ni marufuku kupimwa dna.
 
You are mostly correct Proved,except for one additional comment.

Warumi through their King Constantine from 15th March 321 through to 327 AD in collaboration with the Catholics ndio walioanza kuingiza upagani into Christianity including Sunday worship,and for this God will never forgive the Catholic establishment.In the Book of Revelation Chapter 18,we see God destroying the Catholic establishment.
Pumba tupu na conspiracy theories
 
Mwandishi anaongelea wayahudi wa asili, hawa waliopo Israel sasa hivi ni ashkenazi, hawana asili ya kiyahudi.

Ndiyo maana mpaka leo hawataki kabisa na ni marufuku kupimwa dna.
Wale Wayahudi wa asili wako wapi sasa?
 
Hao Mayahudi waliuwawa na kundi la Hamas. Na wala siyo wale watoto na akina mama wasio na hatia yoyote ile wa Kipalestina.
Kwa hiyo makombora ya Hamas yanamacho yanachagua watu wazima tu tena wanaume! 😂😂
 
Hata hii simu unayotumia wametengeneza hao!
Kadhalika madini ya kutengeneza hizo simu yametoka kwetu,bila madini yetu wasingetengeneza hizo simu,hivyo tunategemeana kwa kila jambo
 
Mayahudi ni majitu makatili tu. Na ndiyo maana hayaoni aibu kuua wanawake na watoto mchana kweupe kwa mabomu, kwa kigezo cha kushambuliwa na Hamas.
Wanawaua I'll Hamas wajitokeze na kujidhalimisha[emoji1787][emoji1787]
 
Hao watoto wanatakiwa kuwaondoa pale Hamas wanapoanzisha uchokozi dhidi ya Israel, ili jamaa wakianza kuwatandika, wasitumie kigezo cha kuua watoto, hao watoto simply wanauawa na ndugu zao wenyewe kwa uchokozi wao dhidi ya Israel.

Kuanzisha uchokozi halafu kwenda kujificha kwa watoto kama ngao dhidi ya mashambulizi, kunaonesha vile Hamas walivyo wajinga, wabinafsi, na makatili wasio na huruma hata kwa watu wao.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umemaliza Kaka

Safarii hi Sina huruma nao kbsa walijuwa kbsa Wana watoto na wanawake alfu wanaenda kurusha mabomu Israel

Watapigwa Hadi anae zaliwa jioni
 
Kwani yale masquad yaliyotumwa tarehe 7/10 yangetua peacefully bila kuzuiliwa na iron domes yangechagua wa kuua? Je yalielekezwa kambi za jeshi au ikulu?

Huwa najaribu kuvaa viatu vya mazayuni naona kabisa jaribio la 7/10 lilikuwa na nia ya kuwafuta mazayuni na nchi yao kwenye uso wa dunia.

Kwa hali hiyo ni ngumu kumrudisha nyuma mbogo aliyejeruhiwa. Dunia itazungumza tu kama formalities lakini wakuu wa dunia wanaelewa hofu ya mazayuni in the future. Kwa sababu hujui nini atakifanya tena huyo adui yako miaka 5 ijayo wakati unapodhani kuna utulivu.

Naona ugumu uliopo katika kuwarudisha mazayuni nyuma.

Wameamua iwe mvua iwe jua, wafe au wapone ila mission yao hadi ikamilike.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Correctly
 
Kadhalika madini ya kutengeneza hizo simu yametoka kwetu,bila madini yetu wasingetengeneza hizo simu,hivyo tunategemeana kwa kila jambo
Unadhani wao madini hawana?

Unafanyika na data unazopewa kuwa wewe ndo una madini mengi kuliko wao?

Nenda Urus, nenda Marekani, nenda China uone raslimali walizonazo! Wako juu mno, huku unanyanh'anywa hata KIDOGO ulichonacho
 
Back
Top Bottom