Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Kwanini Jews, Christian na Islam; zinaitwa Abrahamic Religions’?Mkuu jew,s hawafanani na waislamu.
Mungu wa wayahudi yehova ni tofauti kabisa na mungu wa waarabu na waislamu allah.
Soma
Qur'an 9:30
Qur'an 8:12
Vitabu vya hizo dini msingi wange ni nini? Do research
Au wewe unaamini kabisa ‘Old Testament’ iliandikwa na Moses ambae anasimulia mpaka alivyokufa na kuzikwa kwenye kitabu cha Deuteronomy.
Fanya tafiti nani kaandika hivyo vitabu kwanza na msingi wa hizo story zenyewe.
Like I said mijadala ya dini sio mambo yangu sana.
Bye 👋