edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,919
- 9,797
umesahau kuwa kuna sheria za barabarani usizdishe 80kmhKwahyo basi serikali yetu ikataze gari za hivo kwasabab miundombinu zetu sio rafiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umesahau kuwa kuna sheria za barabarani usizdishe 80kmhKwahyo basi serikali yetu ikataze gari za hivo kwasabab miundombinu zetu sio rafiki.
Sasa ndio nasema km sheria inataka 80kmh kwann tuletewe gari zenye zinafika 280kmhumesahau kuwa kuna sheria za barabarani usizdishe 80kmh
Hivyo vigari vina speed ndefu namna hiyo!!!!!!!!!!!Dash imegandia hapo sasa sijui ndo speed alikuwa nayo au ni wenge la speedo
Hiyo kaipeleka na mkono speed 240 halafu gari nzima hivo inatengenezekaView attachment 2354140
Kwa mchakao huo sidhani kama hata hiyo gauge imesoma uhalisia labda no shock ndiyo imepeleka mshale huko
🤣Hiyo kaipeleka na mkono speed 240 halafu gari nzima hivo inatengenezeka
Mletewe na Nani? Kwamba Germany waanze watengenezea nyie second user magari? Sisi ndo tunaagiza magari ya nchi zawatuSasa ndio nasema km sheria inataka 80kmh kwann tuletewe gari zenye zinafika 280kmh
Au nadanganya mkuu[emoji1787]
Itakuwa ni shock RPM iko zero?.View attachment 2354140
Kwa mchakao huo sidhani kama hata hiyo gauge imesoma uhalisia labda no shock ndiyo imepeleka mshale huko