ni afaddhalli kuliko kusababishiana uharibifu na umauti badae 🐒Kiukweli natangaza rasmi mimi na mke wangu tuko mbioni kuachana rasmi katika muunganiko wa ndoa yetu kabisa kila mtu akatafute changamoto nyingine za kimaisha aisee
Wakati namuoa tulikubaliana abadili dini lakini yeye amengeuka sana sasa tumeamua kuachana rasmi kila mtu atunze furaha yake
Ahsanteni.
Umemuoa katika ujinga, na unamuacha katika ujinga.Kiukweli natangaza rasmi mimi na mke wangu tuko mbioni kuachana rasmi katika muunganiko wa ndoa yetu kabisa kila mtu akatafute changamoto nyingine za kimaisha aisee
Wakati namuoa tulikubaliana abadili dini lakini yeye amengeuka sana sasa tumeamua kuachana rasmi kila mtu atunze furaha yake
Ahsanteni.
Bilionea yuko bize hana muda wa maneno mengialieelewa
Kama Wana izo maliBaada ya Pasu kwa Pasu ndio utajua kama mmeachana kiroho safi
Huko aliko kuna wenzie watampeleka kwa wanasheria
Wanasheria watakomaa na wewe ili wapate chao
🤣Imani ni kitu muhimu sn.Ni upumbavu wa hali ya juu waafrica kuacha kuunganisha vikojoleo kisa dini za kuletwa kwa majahazi .
Samahan mtoa mada lakin[emoji120]