Mimi na mke wangu tupo bega Kwa bega mbali na maisha magumu tunayopitia na upendo wetu umeongezeka maradufu

Mimi na mke wangu tupo bega Kwa bega mbali na maisha magumu tunayopitia na upendo wetu umeongezeka maradufu

Dalali wa mjini

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2024
Posts
326
Reaction score
464
Habari wakuu.

Bana msoto wa Maisha ni mkali sana katika hii Dunia.

Mimi na mke wangu tupo Bega Kwa Bega Mbali Na Maisha magumu tunayopitia na upendo wetu umeongezeka maradufu.

Ebana shemeji yenu ananipa Moyo Sana katika utafutaji wa ugali.Nafurahi kusema ya kwamba kipindi cha raha tulikuwa pamoja na kipindi hiki cha msoto tupo pamoja.

Watoto wetu hawajui ugumu wa Maisha wakati mwingine mwanangu WA mwisho ananiuliza baba Gari yako ipo gereji?Namjibu ndio mana naona majirani wakipaki magari Yao.

Ewe mwanaume mwenzangu uliyeoa mpende mkeo kama heshima yako kaibeba.Mkigombana wekeni suruhushi Maisha yaendelee.
 
Habari wakuu.

Bana msoto wa Maisha ni mkali sana katika hii Dunia.

Mimi na mke wangu tupo Bega Kwa Bega Mbali Na Maisha magumu tunayopitia na upendo wetu umeongezeka maradufu.

Ebana shemeji yenu ananipa Moyo Sana katika utafutaji wa ugali.Nafurahi kusema ya kwamba kipindi cha raha tulikuwa pamoja na kipindi hiki cha msoto tupo pamoja.

Watoto wetu hawajui ugumu wa Maisha wakati mwingine mwanangu WA mwisho ananiuliza baba Gari yako ipo gereji?Namjibu ndio mana naona majirani wakipaki magari Yao.

Ewe mwanaume mwenzangu uliyeoa mpende mkeo kama heshima yako kaibeba.Mkigombana wekeni suruhushi Maisha yaendelee.
Inapendeza 👏 umepata mke mwema.
Endelea kua mume bora muijenge familia.
 
Singo maza msi comment chochote hamna akili wala uwezo wa kuchangia chochote... Mmekuwa useless kwasababu ktk nyakat kama hizi mwanamke mwenzenu anapambana na mumewe nyie mlichagua kukimbia wanaume zenu mkidhani shida zitadumu milele... Sasa waume zenu wamesimama imara wanakula maisha na wanawake wengine...
 
Shida nini mkuu je kazi hakuna ...?
Je unachagua kazi.?

Shida nini. Na karibu
Kwenye swala la kuchagua Kazi hapana mkuu.

Kuna brothers wananipa sapoti sana humu na baadhi Yao nimeonana nao na wengine sikuonana nao.

Wao hunipa michongo juu Kwa juu bado hazijatiki lakini zitakuja kutiki mana matumain yapo.
 
Back
Top Bottom