Tinho_Under17
Member
- Aug 26, 2024
- 10
- 6
"KATI YA MPIRA NA MIMI UNAPENDA NINI"๐
Kama mwanaume mdau wa mpira inawezekana umewahi kukutana na swali kama ili kutoka kwa mwenza wako (mpenzi/mke)๐. Pia kama wewe ni mwanamke inawezekana umewahi kumtolea mpenzi/mume wako kauli kama hii๐. Anyway kuna siri imejificha apa kati ya "wanaume na mpira" bahati mbaya sana wanawake hamjaifaham, sasa leo naombeni niwapitishe kwenye huu uzi ili mjue, twendeni taratibu๐๐
Wanawake mlio wengi mnona kama wanaume zenu (wapenzi wenu) wanapenda sana MPIRA kuliko wanavyowapenda nyinyi. Tena mnafika mbali zaidi mpaka mnawauliza "KATI YENU NA MPIRA KIPI WANAPENDA ZAIDI๐๐" daah this gender๐
Haiko ivo jamani, kuna reason behind na wanaume hua hatutaki mjue. Sasa ngojeni MPWA wenu niwasanue, twendeni taratibu๐๐
Kipindi cha mipira hua ni kipindi ambacho wachumba (wanawake wetu) hua mnaona kama hatuwapendi na tumepunguza mapenzi, kama nlivyosema mwanzo, mnafika mbali zaidi mpaka mnaanza kuuliza "KATI YA YENU NA MPIRA KIPI TUNAPENDA ZAIDI"... Hili swali hua linaishia kuleta ugomvi tu, hua tunawajibu vibaya af mna-mind. Sasa mnajua kwanini hua mnajibiwa vibaya? Twende post inayofata ๐
Kwanza samahanini sana wapwa wangu kwa kutumia hii picha apa chini
nimeitumia intetionally, Uyo ni aliekua mchumba wangu wa pale chuo (LOL๐). Sasa kwann nimeanza nae kwenye hii post, uyu dear ex bana kuna siku aliwahi kuniuliza "kati yake yeye na mpira kipi napenda zaidi", sasa unajua nilichomjibu, Nilimjibu kwa kumuuliza "Kati yake yeye na mpira kipi nilitangulia kukifaham๐" Wajomba kama siku ile nisinge-jiongeza nikaondoka na funguo nyingine ya kitasa wallah ningelala nje๐๐(This gender๐), Apa sjui kosa langu lilikua wap, nilikosea nini kumjibu vile??๐ Haya tuachane na hiki kinogesho, tuendelee na maada yetu
Sasa msichokijua ni kwamba wanaume tunapitia vipindi vigumu sana kwenye utafutaji wetu wa rizki, tunakuaga na njia nyingi za kutengeneza pesa, baadhi mnakua mnazijua ila zingine HUA TUNAWAFICHA, Sasa content yangu ya leo iko hapa kwenye hizi njia ambazo tunazificha.
Chukueni hiiโ๏ธ, sio kwamba tunapenda mpira kiivo, tunapenda kawaida tu ila sio kiasi icho mnacho-dhani. Kinachotufanya tuupe mda mpira ni UWEKEZAJI WETU๐๐, hii njia ya utaftaji pesa wengi wetu hua hatuisemi kwa wanawake wetu, tena mkituuliza tunakataa tunaruka futi 100,๐ najua wanawake hamjanielewa namaanisha nini kusema UWEKEZAJI, twende post inayofata utanielewa
Wanawake nikisema uwekezaji namaanisha BETTING, wenyewe wanaita MIKEKA, MAJAMVI, ila mm napendelea kuita MARUNGU
Sasa KUBETI ndio siri iliyojificha behind wanaume wenu wengi, wanashindwa kuwapa muda nyie wapenzi wao kwa sababu wanashindwa kujigawa mara mbili, yaani akupe muda wewe na wakati huo huo aweze kufatilia mkeka wake unaosoma 100M kwa buku๐ (utani kidogo). Ila ukweli ndio huo, kuna jinsi mtu ukiwa ume-beti unataman kufatilia kwa ukaribu matokeo ya game zako (wajomba kama nadanganya nikosoeni!!).
Ngoja wanaume niwape haka ka-scenario kadogo af mniambie kwa hali kama hii utapata wapi ham ya kumuonesha upendo mpenzi wako.... twende taratibu
Hua kuna ile moment (mara nyingi siku za j-moss na j-pili) siku ambazo kunakua na game nyingi almost kila mda, Sasa unaseti MKEKA (rungu) la game za mapema za wa-japani saa 4 asubuhi linachanika, una-deposite tena unaseti rungu lingine la game za saa 8 mchana linachanika tena, unasema sasa ngoja ufukuzie za jioni maana jioni ndo unyama๐๐ unatengeneza rungu lingine sasa, mara nyingi ili rungu linakuaga na game za kuanzia saa 11 jioni mpaka saa 5 usiku. Sasa izi za saa 11, saa12, saa 1, saa 2, hua zinatoa vzuri tu, zinabaki zile za usiku saa 4 na saa 5. Unakuaga unasubiri kwa umakini sana๐ ila kuna tim moja hua lazima ikuchanie tu, yani lazimaaa๐ tena ni ile tim ambayo uliiweka ili kujazishia Odds ๐ (wanangu najua mnanielewa sana)
Haya sasa kwa moment kama hii naomba mniambie WANAWAKE, huyo mwanaume wako atakupigia sim saa ngapi? mtaongea mambo yenu saa ngapi, analala ana hasira asubuhi ukimpigia sim hapokei unadhani hakupendi kumbe siku ya jana imeenda ovyo. Kwaio namalizia kwa kusema kwamba sio kwamba wanaume tunapenda sana mpira kuliko nyie... no... MARUNGU ndo yanatufanya tunahamishia fikra zetu zote kwenye kufatilia matokeo ya mechi. @TinhoUnder17
Kama mwanaume mdau wa mpira inawezekana umewahi kukutana na swali kama ili kutoka kwa mwenza wako (mpenzi/mke)๐. Pia kama wewe ni mwanamke inawezekana umewahi kumtolea mpenzi/mume wako kauli kama hii๐. Anyway kuna siri imejificha apa kati ya "wanaume na mpira" bahati mbaya sana wanawake hamjaifaham, sasa leo naombeni niwapitishe kwenye huu uzi ili mjue, twendeni taratibu๐๐
Wanawake mlio wengi mnona kama wanaume zenu (wapenzi wenu) wanapenda sana MPIRA kuliko wanavyowapenda nyinyi. Tena mnafika mbali zaidi mpaka mnawauliza "KATI YENU NA MPIRA KIPI WANAPENDA ZAIDI๐๐" daah this gender๐
Haiko ivo jamani, kuna reason behind na wanaume hua hatutaki mjue. Sasa ngojeni MPWA wenu niwasanue, twendeni taratibu๐๐
Kipindi cha mipira hua ni kipindi ambacho wachumba (wanawake wetu) hua mnaona kama hatuwapendi na tumepunguza mapenzi, kama nlivyosema mwanzo, mnafika mbali zaidi mpaka mnaanza kuuliza "KATI YA YENU NA MPIRA KIPI TUNAPENDA ZAIDI"... Hili swali hua linaishia kuleta ugomvi tu, hua tunawajibu vibaya af mna-mind. Sasa mnajua kwanini hua mnajibiwa vibaya? Twende post inayofata ๐
Kwanza samahanini sana wapwa wangu kwa kutumia hii picha apa chini
nimeitumia intetionally, Uyo ni aliekua mchumba wangu wa pale chuo (LOL๐). Sasa kwann nimeanza nae kwenye hii post, uyu dear ex bana kuna siku aliwahi kuniuliza "kati yake yeye na mpira kipi napenda zaidi", sasa unajua nilichomjibu, Nilimjibu kwa kumuuliza "Kati yake yeye na mpira kipi nilitangulia kukifaham๐" Wajomba kama siku ile nisinge-jiongeza nikaondoka na funguo nyingine ya kitasa wallah ningelala nje๐๐(This gender๐), Apa sjui kosa langu lilikua wap, nilikosea nini kumjibu vile??๐ Haya tuachane na hiki kinogesho, tuendelee na maada yetu
Sasa msichokijua ni kwamba wanaume tunapitia vipindi vigumu sana kwenye utafutaji wetu wa rizki, tunakuaga na njia nyingi za kutengeneza pesa, baadhi mnakua mnazijua ila zingine HUA TUNAWAFICHA, Sasa content yangu ya leo iko hapa kwenye hizi njia ambazo tunazificha.
Chukueni hiiโ๏ธ, sio kwamba tunapenda mpira kiivo, tunapenda kawaida tu ila sio kiasi icho mnacho-dhani. Kinachotufanya tuupe mda mpira ni UWEKEZAJI WETU๐๐, hii njia ya utaftaji pesa wengi wetu hua hatuisemi kwa wanawake wetu, tena mkituuliza tunakataa tunaruka futi 100,๐ najua wanawake hamjanielewa namaanisha nini kusema UWEKEZAJI, twende post inayofata utanielewa
Wanawake nikisema uwekezaji namaanisha BETTING, wenyewe wanaita MIKEKA, MAJAMVI, ila mm napendelea kuita MARUNGU
Sasa KUBETI ndio siri iliyojificha behind wanaume wenu wengi, wanashindwa kuwapa muda nyie wapenzi wao kwa sababu wanashindwa kujigawa mara mbili, yaani akupe muda wewe na wakati huo huo aweze kufatilia mkeka wake unaosoma 100M kwa buku๐ (utani kidogo). Ila ukweli ndio huo, kuna jinsi mtu ukiwa ume-beti unataman kufatilia kwa ukaribu matokeo ya game zako (wajomba kama nadanganya nikosoeni!!).
Ngoja wanaume niwape haka ka-scenario kadogo af mniambie kwa hali kama hii utapata wapi ham ya kumuonesha upendo mpenzi wako.... twende taratibu
Hua kuna ile moment (mara nyingi siku za j-moss na j-pili) siku ambazo kunakua na game nyingi almost kila mda, Sasa unaseti MKEKA (rungu) la game za mapema za wa-japani saa 4 asubuhi linachanika, una-deposite tena unaseti rungu lingine la game za saa 8 mchana linachanika tena, unasema sasa ngoja ufukuzie za jioni maana jioni ndo unyama๐๐ unatengeneza rungu lingine sasa, mara nyingi ili rungu linakuaga na game za kuanzia saa 11 jioni mpaka saa 5 usiku. Sasa izi za saa 11, saa12, saa 1, saa 2, hua zinatoa vzuri tu, zinabaki zile za usiku saa 4 na saa 5. Unakuaga unasubiri kwa umakini sana๐ ila kuna tim moja hua lazima ikuchanie tu, yani lazimaaa๐ tena ni ile tim ambayo uliiweka ili kujazishia Odds ๐ (wanangu najua mnanielewa sana)
Haya sasa kwa moment kama hii naomba mniambie WANAWAKE, huyo mwanaume wako atakupigia sim saa ngapi? mtaongea mambo yenu saa ngapi, analala ana hasira asubuhi ukimpigia sim hapokei unadhani hakupendi kumbe siku ya jana imeenda ovyo. Kwaio namalizia kwa kusema kwamba sio kwamba wanaume tunapenda sana mpira kuliko nyie... no... MARUNGU ndo yanatufanya tunahamishia fikra zetu zote kwenye kufatilia matokeo ya mechi. @TinhoUnder17