Mimi na wewe...


Its hard kupata unayeendana naye completely
 
Tat will contradict meaning of love,si ndiyo?i mean in love huwezi jizuia by giving equally kama unavyopewa wewe

Huwezi kujenga mahusiano na mtu asiyekupenda wewe kisa wewe unampenda. Ama mtu ambae ni kinyume na yale yote unayoamini/taka kisa tu unampenda. Mtu asiyekujali/kuheshimu/kuthamini kisa unampenda. Huo ndio mwanzo wa wewe kwenda kutafuta unayokosa nje.
 
Huwezi kujenga mahusiano na mtu asiyekupenda wewe kisa wewe unampenda. Ama mtu ambae ni kinyume na yale yote unayoamini/taka kisa tu unampenda. Mtu asiyekujali/kuheshimu/kuthamini kisa unampenda. Huo ndio mwanzo wa wewe kwenda kutafuta unayokosa nje.

Mapenzi full matatizo.@ times i just wish nisipende kabisa but ntachakachua mpaka lini?....aisee mbona upo macho this late?@ lizzy
 
Mapenzi full matatizo.@ times i just wish nisipende kabisa but ntachakachua mpaka lini?....aisee mbona upo macho this late?@ lizzy

Omba tu ubahatike kumpata yule atakaekufaa wewe na wewe umfae yeye.

Hehehehe mbona wewe upo macho?
 
Huwezi kujenga mahusiano na mtu asiyekupenda wewe kisa wewe unampenda. Ama mtu ambae ni kinyume na yale yote unayoamini/taka kisa tu unampenda. Mtu asiyekujali/kuheshimu/kuthamini kisa unampenda. Huo ndio mwanzo wa wewe kwenda kutafuta unayokosa nje.
lol.... this z sooo true .
kbs yan choosing a life partner sio ki2 kirahisi kama kinavyochukuliwa na zaidi ya kumpenda tuu.
atleast muwe mnaenda pia.
thou sijui yan mwanzon mnaweza mkawa ok mmh mkioana mambo yanavyobadilika mmh. hata cjui kwann.
 
lol.... this z sooo true .
kbs yan choosing a life partner sio ki2 kirahisi kama kinavyochukuliwa na zaidi ya kumpenda tuu.
atleast muwe mnaenda pia.
thou sijui yan mwanzon mnaweza mkawa ok mmh mkioana mambo yanavyobadilika mmh. hata cjui kwann.
Kuendana muhimu aiseee. . .
Unaweza ukampenda mtu na bado ukashindwa kuvumilia madudu yake.
 
unaweza kumpata mwenye configaration inayokuingia ila under uncontrolled reasons (like the way some mutants cells arise ) akamomonyoka .
The issue ni kukubaliana yaan hata ya mechi na matokea yatakoyatokea taking into consideration that you umecheza kufa/kupona kuokoa
 
Kuendana muhimu aiseee. . .
Unaweza ukampenda mtu na bado ukashindwa kuvumilia madudu yake.
kwa nini ujibebeshe mzigo wa kumpenda mtu aliyejaa madudu!!!!!!!!! the sooner you quit the longer u and happier u live
 
kwa nini ujibebeshe mzigo wa kumpenda mtu aliyejaa madudu!!!!!!!!! the sooner you quit the longer u and happier u live

Si watu eti wanadai mapenzi hayaoni!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…