Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Kabisa mkuu!leo jukwaa limejaa upako
hakika tunatakasika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu!leo jukwaa limejaa upako
hakika tunatakasika
Tuishi na tufanye yenye upendo na kujengaYes man❤❤👊
Wewe Muha weweKazana sana kula dagaa
Wanasaidia kuzalisha sumuWewe Muha wewe
Hao fish baby mm wa nn ?
Siku hizi linampataJust chill...si wanasema dua la kuku...😶
Yes,karma is real broKila mtu anakinywea kikombe kwa namna yake, ndio maana wenye mali nyingi ndio wanaongoza kwa ukatili. Leo hii kuna wenzetu wamezikwa wapo kivyao kaburini.
Kila mtu atapatilizwa kwa mda wake. Do good or bad, you'll face it for shizzle!!
Hili bandiko silipingi hata kidogo maana kuna vitu nilivifanyaga naona baada ya miaka kama vinanirudi ivi.... na viki ni rudi kumbukumbu inanijia mpaka naishiwa nguvuMi naamini kila dhambi lazima uilipie.....ulipaji unaweza chelewa ila lazima muda ufike uwajibike.
Usichopenda kutendewa usimtendee mwenzio.... Usipende kuvuruga amani ya moyo ya MTU Mwingine kwa kumkomoa tu huku wewe ukiendelea kuenjoy.
Unadanganya kibiashara, kifedha, kifamilia, kijamii na kimapenz....pesa unakopa hulipi, unafanya biashara na MTU unadhurumu, unadanganyia pipi na kutishia visu watoto unawabaka, unamwahidi kumwoa unamwachia mimba unasepa, unaua wazazi kwa tamaa za Mali...
Unatelekeza familia sababu ya anasa.....unamwaminisha MTU mpo safari moja kumbe umeaminisha wengi-wastage of time(hili limenipata but time will tell).......Karma is real tusipojirekebisha wapendwa.
Sijui Mkisi aliachaje kukataa Hy kichwa.😂Wanasaidia kuzalisha sumu
Linampata mwewe banaa🤗🤗🤗!Just chill...si wanasema dua la kuku...😶
😂😂😂 em niacheSijui Mkisi aliachaje kukataa Hy kichwa.😂
Iwe karma au isiwe, lazima tutapatilizwa tu, tenda mema uwezavyo, lazima siku itafika utapigwa chepe tu....Yes,karma is real bro
And she is my real one😂Rafiki siku hizi umekuwa mwanafilosofia, angalia tu usije ukafikia level za Unique Flower 😂😂
Natamani kuyafuta maana mengine nahisi sikua na ufahamu (kupevuka) lakini yananisumbua balaaMimi mwenyewe yalishanipata ivo nakumbushia tu
Ndio ile what goes around comes around ausio!! Hahahaaa...Hili bandiko silipingi hata kidogo maana kuna vitu nilivifanyaga naona baada ya miaka kama vinanirudi ivi.... na viki ni rudi kumbukumbu inanijia mpaka naishiwa nguvu