Mimi naamini kila dhambi lazima uilipie

Kila mtu anakinywea kikombe kwa namna yake, ndio maana wenye mali nyingi ndio wanaongoza kwa ukatili. Leo hii kuna wenzetu wamezikwa wapo kivyao kaburini.

Kila mtu atapatilizwa kwa mda wake. Do good or bad, you'll face it for shizzle!!
 
Kila mtu anakinywea kikombe kwa namna yake, ndio maana wenye mali nyingi ndio wanaongoza kwa ukatili. Leo hii kuna wenzetu wamezikwa wapo kivyao kaburini.

Kila mtu atapatilizwa kwa mda wake. Do good or bad, you'll face it for shizzle!!
Yes,karma is real bro
 
Hili bandiko silipingi hata kidogo maana kuna vitu nilivifanyaga naona baada ya miaka kama vinanirudi ivi.... na viki ni rudi kumbukumbu inanijia mpaka naishiwa nguvu
 
Hili bandiko silipingi hata kidogo maana kuna vitu nilivifanyaga naona baada ya miaka kama vinanirudi ivi.... na viki ni rudi kumbukumbu inanijia mpaka naishiwa nguvu
Ndio ile what goes around comes around ausio!! Hahahaaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…