Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hawa vijana wana mihemko tu dhidi ya US.Marekani huyo huyo alotoa tahadhari kuwa urusi itashambuliwa kisha ikashambuli kweli, ndo huyo huyo marekani aloitahadharisha Ukraine kuwa urusi ataivamia. Ingawa urusi alikataa alafu akavamia.
Je hapo itatosha kuhitimisha kuwa Us na Arusi walipanga kuivamia Ukraine?