Hawa vijana wana mihemko tu dhidi ya US.Marekani huyo huyo alotoa tahadhari kuwa urusi itashambuliwa kisha ikashambuli kweli, ndo huyo huyo marekani aloitahadharisha Ukraine kuwa urusi ataivamia. Ingawa urusi alikataa alafu akavamia.
Je hapo itatosha kuhitimisha kuwa Us na Arusi walipanga kuivamia Ukraine?
Ukraine yupi apigwe na kubwa jinga lina hangaika mwaka wa 3 sasaUkrain apigwe mpaka Marekani amlete mhusika. ISIS hata kama wamehusika basi wametumwa. Russia anamtafuta Boss hana haja na Vibaraka.
Bado Urusi atapigika sana ili aone namna Ukraine imeumizwa na ugaidi wakeKutokana na Uharaka wakujibu Zelensky anahusika moja kwa moja,pia mipango iliyoanzishwa na marekani mapema mwezi huu kuwa kunaweza kutokea shambulizi la kigaidi basi hizo zilikuwa ni propaganda zilizotengenezwa kuiaminisha jamii kuwa ikitokea wasema hata marekani alisha sema!
Sasa wakasahu kuwa Urusi ni fundi! Kitendo cha Zelensky kusema ahusiki ilikuwa tayari ameisha jisema! Uliwahi kuona mtoto anafanya kosa unaenda sehemu yatukio ujaongea lolote mtoto anasema mimi sijafanya!
Ujue huyo ndo mhusika sasa Zelensky alichokifanya! Pia ISIS siyo kutoka maeneo hayo inaonekana ni mipango ya Ukraine wote wanaongea kirusi ISIS hakuna hata mwarabu! Nakataa
Mmarekani alimuonya Mrusi kwamba jamaa watapiga, akamwambia mpaka watapiga wapi na lini, kwa sababu alikuwa ana intelligence.Kutokana na Uharaka wakujibu Zelensky anahusika moja kwa moja,pia mipango iliyoanzishwa na marekani mapema mwezi huu kuwa kunaweza kutokea shambulizi la kigaidi basi hizo zilikuwa ni propaganda zilizotengenezwa kuiaminisha jamii kuwa ikitokea wasema hata marekani alisha sema!
Sasa wakasahu kuwa Urusi ni fundi! Kitendo cha Zelensky kusema ahusiki ilikuwa tayari ameisha jisema! Uliwahi kuona mtoto anafanya kosa unaenda sehemu yatukio ujaongea lolote mtoto anasema mimi sijafanya!
Ujue huyo ndo mhusika sasa Zelensky alichokifanya! Pia ISIS siyo kutoka maeneo hayo inaonekana ni mipango ya Ukraine wote wanaongea kirusi ISIS hakuna hata mwarabu! Nakataa
Shambulizi hilo lilipangwa na US lakin akatumia kauli ya kuudanganya ulimwengu ili aonekane yy ana intelligence kuliko wengine.Mmarekani alimuonya Mrusi kwamba jamaa watapiga, akamwambia mpaka watapiga wapi na lini, kwa sababu alikuwa ana intelligence.
Mrusi akapuuzia.
Sasa, kama Mmarekani kapanga, kwa nini amwambie Mrusi?
Yani Mmarekani apange shambulizi halafu mwenyewe amwambie Mrusi kuhusu shambulio hilo?
Hizi stories za vijiweni zisizo na ushahidi wala uthibitisho kila mtu anaweza kusema.Shambulizi hilo lilipangwa na US lakin akatumia kauli ya kuudanganya ulimwengu ili aonekane yy ana intelligence kuliko wengine.