mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
- Thread starter
-
- #21
Basi ni kama wanajeshi vitani. Kuna mtu anaona the bigger the gun the accuracy he gets na kuna mwingine we mpe Bereta tu anakuletea matokeo.Pad kwa games za mpira na racing naona yafaa hata side scrolling games kama mark of the ninja na hizi assassin creed chronicle of china na india zinafaa ila kwa action kama call of duty au splintercell naona shida kutumia pads
Ninayo ila patch zake sina. Kwa io utacheza bila Licenced player wengi sana.Mkuu vp Una pes 17 pc
Haha asee mi dem wangu akianza dalili za kibuti tu nazima sim nawasha PS mbona atakuja tuu nyumbani kunitafuta maana hewani sipatikan [emoji23] [emoji3]akha! basi mi nachezaga na madem zenu nyie mkiwa mnacheza magemu😀
Thanks bro nitakutafutaMimi nafanya sana ila kua honest sijawai nunua kitu cha zaidi ya $200
Ila we can try something out 0786371108
Thanks bro nitakutafutaMimi nafanya sana ila kua honest sijawai nunua kitu cha zaidi ya $200
Ila we can try something out 0786371108
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sure mkuuBasi ni kama wanajeshi vitani. Kuna mtu anaona the bigger the gun the accuracy he gets na kuna mwingine we mpe Bereta tu anakuletea matokeo.
Kila mtu na taste yake
[emoji23] kuna mtu mpaka umpe steer ring kabisa bila hivo kama ni mission ya gari litafika matairi ya nyuma tuu [emoji3][emoji23] [emoji23] [emoji23] sure mkuu
Hehhehee acha wapenzi wa mikeka na majamvi wanakujaJiunge na group la whatsap la betting lenye members zaidi ya watu 130 upate mikeka ya uhakika na ushauri mzuri kuhusu mechi na company za betting. Kujiunga ni bure na ushauri na mikeka yote ni bure. Linki iyo hapo chini.<br /><br /><br /><br />Betting only
Mkuu Uko wap nashida nazo ! Pleasee .Kama una PC yenye uwezo nitafute nikupe bure kabisa. Mimi ninayo
Dar es salaam msasani. Free sinaga roho ya kuchaji hela kitu nlichopata bureMkuu Uko wap nashida nazo ! Pleasee .