Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Hawa wanyamapori ni urithi wa Taifa letu.
Hivyo ingekua vizuri walioruhusu kuwauza wanyamapori wachukuliwe hatua, watolewe kwenye hizo nafasi wawekwe watu wenye weledi na wanaotambua umuhimu wa wanyapori katika uchumi endelevu kwa taifa. Sii hivyo tu wafunguliwe kesi za uhujumu uchumi endelevu.
Tukiweka mazingira mazuri ya kuvutia watalii, tutaingiza pesa nyingi sana.
Mfano tumwombe Christiano Ronaldo aje Tanzania apige picha na baadhi ya wanyama kama Pundamilia na Twiga.
Akiposti kwenye page yake ya Facebook na Instagram kila mmoja hapa duniani atawaona wanyama, atatamani aje kuwatazama.
Pia kuna wanamuziki maarufu kama Ed Sheeran, mpiga gitaa tumchukue aje afanye kama anavyofanya Christiano, tutapata matokeo makubwa tutaingiza pesa nonstop na huo ndio uchumi endelevu.
Tusipende uchumi feki, wanyama wakiisha tutauza nini tena baadaye??? Lazima tuwaze kichumi. Watu mliopewa dhamana ya kuwapreserve hao wanyamapori, hao wanyama mkiwauza wakiisha mtueleze mtapata wapi chanzo kingine cha mapato? Lazima tuwaze kichumi, hiyo inamaanisha wizara ya maliasili haitakua na vyanzo vingine vya mapato, na huo ni uhujumu uchumi.
Njia bora nikuiga wenzetu Rwanda tutafanye uchumi endelevu na utalii tu ndio njia endelevu ya kujiingizia kipato kupitia wanyama bila kuwauza.
Wenzetu Rwanda wameweka pesa kwenye timu za Arsenal na PSG unaona visit Rwanda imagine Messi anapost picha na jersey inasoma Visit Rwanda hapo nyuma kwanini watu wasiende Rwanda kutalii na kutazama wanyama.
Bango kubwa linasoma Emirates na Parc de Prince Visit Rwanda.
Na hizi timu kwenye mitandao zina followers wengi, lazima nao watatamani kwenda kuwatazama hao wanyama. Pesa inayopatikana ni mara nne zaidi ya bei ya mnyamapori.
Hivyo ingekua vizuri walioruhusu kuwauza wanyamapori wachukuliwe hatua, watolewe kwenye hizo nafasi wawekwe watu wenye weledi na wanaotambua umuhimu wa wanyapori katika uchumi endelevu kwa taifa. Sii hivyo tu wafunguliwe kesi za uhujumu uchumi endelevu.
Tukiweka mazingira mazuri ya kuvutia watalii, tutaingiza pesa nyingi sana.
Mfano tumwombe Christiano Ronaldo aje Tanzania apige picha na baadhi ya wanyama kama Pundamilia na Twiga.
Akiposti kwenye page yake ya Facebook na Instagram kila mmoja hapa duniani atawaona wanyama, atatamani aje kuwatazama.
Pia kuna wanamuziki maarufu kama Ed Sheeran, mpiga gitaa tumchukue aje afanye kama anavyofanya Christiano, tutapata matokeo makubwa tutaingiza pesa nonstop na huo ndio uchumi endelevu.
Tusipende uchumi feki, wanyama wakiisha tutauza nini tena baadaye??? Lazima tuwaze kichumi. Watu mliopewa dhamana ya kuwapreserve hao wanyamapori, hao wanyama mkiwauza wakiisha mtueleze mtapata wapi chanzo kingine cha mapato? Lazima tuwaze kichumi, hiyo inamaanisha wizara ya maliasili haitakua na vyanzo vingine vya mapato, na huo ni uhujumu uchumi.
Njia bora nikuiga wenzetu Rwanda tutafanye uchumi endelevu na utalii tu ndio njia endelevu ya kujiingizia kipato kupitia wanyama bila kuwauza.
Wenzetu Rwanda wameweka pesa kwenye timu za Arsenal na PSG unaona visit Rwanda imagine Messi anapost picha na jersey inasoma Visit Rwanda hapo nyuma kwanini watu wasiende Rwanda kutalii na kutazama wanyama.
Bango kubwa linasoma Emirates na Parc de Prince Visit Rwanda.
Na hizi timu kwenye mitandao zina followers wengi, lazima nao watatamani kwenda kuwatazama hao wanyama. Pesa inayopatikana ni mara nne zaidi ya bei ya mnyamapori.