Bila shuka
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 596
- 294
why??Speechless [emoji40][emoji40]
daaaah asante kwa ushauri mkuumkuu kizuri kula na mwenzio... sema wewe akija tumia condom kula mzigo wako kwa furaha usiwaze baada ya hapo we mwache aende dar aje huku wamtafune vizuri tu huku wewe ukiendelea kujiweka pembeni kiaina
Kweli Ndoa ni taasisi ya vipofu.Hacheni mambo ya kitoto, kwanza ulimkuta na bikira?
Unadhani simu yake hauwezi kuwa busy kwa sababu yako, usiweke kwenye mazingira ya kujiumiza moyo kwa mambo usiyo na uhakika nayo.
Ukiwa na mke/mpenzi jipange kisaikolojia kukubali kitakachotokea mbele ya safari.
Kumbe na wewe huwa unamegwa mdogomdogo eengh?Wewe umempataje wenzako washindwe?
Icho cha mwisho nicho nathikia... she decides who to share with..Waambie huko ofisini wakuongezee majukumu. It seems umepungukiwa kazi, unaanza kuwaza vitu usivyo na control navyo.
The pu!!y is hers, she decides who to share with.