Mimi nahisi nimechapiwa wewe je?

Dawa ya moto n moto na ww mchapie tu vzr
 
Miaka mi3 Green Bird. Bachelor ama Diploma?
 
Kwani ulimkuta bikra? Kama jibu ni hapana , basi potezea haisomi kilometer hiyo.
 
Acha utoto uko,so usipo patikana kwenye simu umeenda kuchapa siku hiyo,akianza kazi si utachanganyikiwa kabisa wewee,mtu mwenyewe anasomea uwalimu ngoja aende vijijini uko usiwasiliane naye wiki kabisa ndo utakuwa
 
Uliyataka mwenyewe mkuu, we unajua mwenzio macho juu bado unamuacha aje mwenyewe ila usijali sana kama hakuwa bikra ulivyo mkuta basi jua wewe sio wa mwisho kwake.
Akija we endelea tuu kula mzigo maisha yasonge
 
Huyo amechapwa na huko dar anaenda kugongwa tena
 

ebwana katika watu wenye maakili humu naona wewe ndio nambari moja. asante sana kwa ushauri. ila mwana ebu nikuulize sasa ikitokea yule niliyompenda kwa dhati kashaolewa inakuwaje sasa?
 
Pole mkuu ndio walivyo baadhi yao hawakawii kujisingizia chaji ukiwanunulia power bank watakuambia mtandao all in all mfanyie investigation utapata majibu ukiona kuna jamaa anamega piga chin kuanza upya sio ujinga ni kher kuliko kukumbatia birika la bati linalochemka kwenye umeme wa nyuklia!
 
Yes umechapiwa,sasa unataka ufanyeje?unapomchapa,wenzio pia usema wamechapiwa...kuchapa/kuchapiwa ni jambo la kawaida sana wewe kijana...tafuta pesa kwa bidiiiii 'Mbunye' isikuaribie malengo yako.
 
Kuchapiwa siri ya ndani mkuu sasa mbona wewe unatangaza namna hii?!

Usiwe na uchungu jikaze akija mgonge kweli kweli Tandika kweli kweli pigisha kwata usiku kila siku kwenye hizo siku 3 make sure unagonga goli kama 13 hivi kwa uchache alafu siku ya kuondoka mchane ukweli
 
 
katika Jina la Uzuri mambo yote yanawezekana... hata ukichapiwa
katika jina la "uzuri" hasira zinaisha!!!

huwa tunatumia udhaifu wenu kama faida kwetu
 
Simu kuwa busy tu ndo unawaza kuchapiwa una akili ya jogooo
Hivi kuna mtu ambaye hajawahi kuchapiwa hapa bongo???
Jinsi wewe unavochapa na wenzio wanakuchapia. Tena women are good at it
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…