Mimi nahisi nimechapiwa wewe je?

Mimi nahisi nimechapiwa wewe je?

Dawa ya moto n moto na ww mchapie tu vzr
 
Miaka mi3 Green Bird. Bachelor ama Diploma?
 
Kwani ulimkuta bikra? Kama jibu ni hapana , basi potezea haisomi kilometer hiyo.
 
Habari wana JF

Mimi nipo KILIMANJARO kikazi kwa mda wa miezi 6 nakaa Moshi town maeneo ya Soweto sasa wadau kilichonileta hapa ni hiki:

Nina msichana wangu hivi anasoma chuo cha UALIMU GREEN BIRD COLLEGE mwaka wa 3, kipo Mwanga Kilimanjaro. Alinambia akifunga shule niende nikamchukue chuoni kwao nikamuambia nitakosa nafasi siwezi kuja kwa sababu ni mid day akalalamika wee baada ya kummbembeleza sana akakubali.

Jumatano ndo wamefunga shule nikamuambia utaondoka shuleni saa ngapi? Akanambia asubuhi saa 4 ikafika saa 4 siku ya Jumatano nikampigia simu nikakuta ipo busy takribani dakika kama 20 hivi inatumika na baada ya hapo nikapiga tena ikawa haipatikani nikapiga simu ikawa haipatika mpaka saa 12 jioni ndo ananitumia text ndo nipo kwenye gari anarudi kwao Mwika. Nikamuuliza mbona simu yako ilikua haipatikani akanijibu alikua busy serious? Na hata siku moja haijawahi tokea yeye kuzima simu mda mrefu kiasi hicho na huwa akizima simu ananiambiga.


Wadau mimi mawazo yangu nahisi nimechapiwa kabisaa aisee naumia roho sema ndo ishatokea wewe unahisi nini? Au ni mawazo yangu au ninachikiwaza ni kweli?.Daaah! kinachoniuma mtoto ni mzuri hatarii. Akili yangu inawaza tuu kumuacha asiponambia ukweli anakuja kwangu Jumapili kulala kwa mda wa siku 3 then aende Dar es Salaam, Jumatano ndo ataondoka. Mimi nimemruhusu tu aje ila roho inauma sana na mpaka sasa sija muonyesha ishara yoyote kama niko na hasira nipo kawaida tu ila ndo hivo roho inauma.
Acha utoto uko,so usipo patikana kwenye simu umeenda kuchapa siku hiyo,akianza kazi si utachanganyikiwa kabisa wewee,mtu mwenyewe anasomea uwalimu ngoja aende vijijini uko usiwasiliane naye wiki kabisa ndo utakuwa
 
Uliyataka mwenyewe mkuu, we unajua mwenzio macho juu bado unamuacha aje mwenyewe ila usijali sana kama hakuwa bikra ulivyo mkuta basi jua wewe sio wa mwisho kwake.
Akija we endelea tuu kula mzigo maisha yasonge
 
Habari wana JF

Mimi nipo KILIMANJARO kikazi kwa mda wa miezi 6 nakaa Moshi town maeneo ya Soweto sasa wadau kilichonileta hapa ni hiki:

Nina msichana wangu hivi anasoma chuo cha UALIMU GREEN BIRD COLLEGE mwaka wa 3, kipo Mwanga Kilimanjaro. Alinambia akifunga shule niende nikamchukue chuoni kwao nikamuambia nitakosa nafasi siwezi kuja kwa sababu ni mid day akalalamika wee baada ya kummbembeleza sana akakubali.

Jumatano ndo wamefunga shule nikamuambia utaondoka shuleni saa ngapi? Akanambia asubuhi saa 4 ikafika saa 4 siku ya Jumatano nikampigia simu nikakuta ipo busy takribani dakika kama 20 hivi inatumika na baada ya hapo nikapiga tena ikawa haipatikani nikapiga simu ikawa haipatika mpaka saa 12 jioni ndo ananitumia text ndo nipo kwenye gari anarudi kwao Mwika. Nikamuuliza mbona simu yako ilikua haipatikani akanijibu alikua busy serious? Na hata siku moja haijawahi tokea yeye kuzima simu mda mrefu kiasi hicho na huwa akizima simu ananiambiga.


Wadau mimi mawazo yangu nahisi nimechapiwa kabisaa aisee naumia roho sema ndo ishatokea wewe unahisi nini? Au ni mawazo yangu au ninachikiwaza ni kweli?.Daaah! kinachoniuma mtoto ni mzuri hatarii. Akili yangu inawaza tuu kumuacha asiponambia ukweli anakuja kwangu Jumapili kulala kwa mda wa siku 3 then aende Dar es Salaam, Jumatano ndo ataondoka. Mimi nimemruhusu tu aje ila roho inauma sana na mpaka sasa sija muonyesha ishara yoyote kama niko na hasira nipo kawaida tu ila ndo hivo roho inauma.
Huyo amechapwa na huko dar anaenda kugongwa tena
 
Mkuu sio wote walio oa wana pesa za kuwapelekea wakwe zao. Kile kidogo ulicho nacho ukijipanga, unaoa na maisha yanaendelea. Tatizo sio kwamba eti hamna pesa za kuolea, tatizo ni kuendekeza maisha ya tamaa za mwili. Na kama huna pesa kabisa za kutunza mke, vumilia huku ukifanya kazi kwa bidii na utafanikiwa. Mkuu una uwezo kabisa wa kuzimiliki na kuzitawala tamaa za mwili wako, kila kitu kiko kwenye ubongo wako, unachotakiwa kufanya ni kuamua tu basi. Mkuu, mtii MUNGU, nawe utaishi.

ebwana katika watu wenye maakili humu naona wewe ndio nambari moja. asante sana kwa ushauri. ila mwana ebu nikuulize sasa ikitokea yule niliyompenda kwa dhati kashaolewa inakuwaje sasa?
 
Pole mkuu ndio walivyo baadhi yao hawakawii kujisingizia chaji ukiwanunulia power bank watakuambia mtandao all in all mfanyie investigation utapata majibu ukiona kuna jamaa anamega piga chin kuanza upya sio ujinga ni kher kuliko kukumbatia birika la bati linalochemka kwenye umeme wa nyuklia!
 
Yes umechapiwa,sasa unataka ufanyeje?unapomchapa,wenzio pia usema wamechapiwa...kuchapa/kuchapiwa ni jambo la kawaida sana wewe kijana...tafuta pesa kwa bidiiiii 'Mbunye' isikuaribie malengo yako.
 
Kuchapiwa siri ya ndani mkuu sasa mbona wewe unatangaza namna hii?!

Usiwe na uchungu jikaze akija mgonge kweli kweli Tandika kweli kweli pigisha kwata usiku kila siku kwenye hizo siku 3 make sure unagonga goli kama 13 hivi kwa uchache alafu siku ya kuondoka mchane ukweli
 
Habari wana JF

Mimi nipo KILIMANJARO kikazi kwa mda wa miezi 6 nakaa Moshi town maeneo ya Soweto sasa wadau kilichonileta hapa ni hiki:

Nina msichana wangu hivi anasoma chuo cha UALIMU GREEN BIRD COLLEGE mwaka wa 3, kipo Mwanga Kilimanjaro. Alinambia akifunga shule niende nikamchukue chuoni kwao nikamuambia nitakosa nafasi siwezi kuja kwa sababu ni mid day akalalamika wee baada ya kummbembeleza sana akakubali.

Jumatano ndo wamefunga shule nikamuambia utaondoka shuleni saa ngapi? Akanambia asubuhi saa 4 ikafika saa 4 siku ya Jumatano nikampigia simu nikakuta ipo busy takribani dakika kama 20 hivi inatumika na baada ya hapo nikapiga tena ikawa haipatikani nikapiga simu ikawa haipatika mpaka saa 12 jioni ndo ananitumia text ndo nipo kwenye gari anarudi kwao Mwika.
Dah sorry mwana sikujua kama ni ila hongera maana ana papuchi tamu hatari...huu mchezo hauhitaj hasira!
 
katika Jina la Uzuri mambo yote yanawezekana... hata ukichapiwa
katika jina la "uzuri" hasira zinaisha!!!

huwa tunatumia udhaifu wenu kama faida kwetu
 
Simu kuwa busy tu ndo unawaza kuchapiwa una akili ya jogooo
Hivi kuna mtu ambaye hajawahi kuchapiwa hapa bongo???
Jinsi wewe unavochapa na wenzio wanakuchapia. Tena women are good at it
 
Back
Top Bottom