Mimi nahisi nimechapiwa wewe je?

Mimi nahisi nimechapiwa wewe je?

Enye kizazi cha smart phon tweter instagram fanyeni kaz
 
Kuchapiwa ni siri ya ndani sasa mbona we umekuja kuiweka hadharani? By the way vumilia tu kwani wewe sio wa kwanza kuchapiwa
 
Habari wana JF

Mimi nipo KILIMANJARO kikazi kwa mda wa miezi 6 nakaa Moshi town maeneo ya Soweto sasa wadau kilichonileta hapa ni hiki:

Nina msichana wangu hivi anasoma chuo cha UALIMU GREEN BIRD COLLEGE mwaka wa 3, kipo Mwanga Kilimanjaro. Alinambia akifunga shule niende nikamchukue chuoni kwao nikamuambia nitakosa nafasi siwezi kuja kwa sababu ni mid day akalalamika wee baada ya kummbembeleza sana akakubali.

Jumatano ndo wamefunga shule nikamuambia utaondoka shuleni saa ngapi? Akanambia asubuhi saa 4 ikafika saa 4 siku ya Jumatano nikampigia simu nikakuta ipo busy takribani dakika kama 20 hivi inatumika na baada ya hapo nikapiga tena ikawa haipatikani nikapiga simu ikawa haipatika mpaka saa 12 jioni ndo ananitumia text ndo nipo kwenye gari anarudi kwao Mwika. Nikamuuliza mbona simu yako ilikua haipatikani akanijibu alikua busy serious? Na hata siku moja haijawahi tokea yeye kuzima simu mda mrefu kiasi hicho na huwa akizima simu ananiambiga.


Wadau mimi mawazo yangu nahisi nimechapiwa kabisaa aisee naumia roho sema ndo ishatokea wewe unahisi nini? Au ni mawazo yangu au ninachikiwaza ni kweli?.Daaah! kinachoniuma mtoto ni mzuri hatarii. Akili yangu inawaza tuu kumuacha asiponambia ukweli anakuja kwangu Jumapili kulala kwa mda wa siku 3 then aende Dar es Salaam, Jumatano ndo ataondoka. Mimi nimemruhusu tu aje ila roho inauma sana na mpaka sasa sija muonyesha ishara yoyote kama niko na hasira nipo kawaida tu ila ndo hivo roho inauma.

Umechapiwa mkuu!!
Na wewe mchapie!!

mkuu kizuri kula na mwenzio... sema wewe akija tumia condom kula mzigo wako kwa furaha usiwaze baada ya hapo we mwache aende dar aje huku wamtafune vizuri tu huku wewe ukiendelea kujiweka pembeni kiaina

Demu wangu ndio wako niliona unampigia cm sana nikazima

hahaha tena mwanachuo aisee jiandae kwa majanga zaidi,ushauri jitoe taratibu hapo au fanya kama ni msichana wakukushusha nyege tu usiwekeze kwa wadada wa chuo utalia mkuu mpe hela piga miti sepaaa

acha uboyo wewe kijana huyo mwanamke maku atatembwa nayo hivyo anaweza gawa kwa yoyote yule. cha msingi ukipata zamu yako gegeda ufurahi basi. usiweke mwanamke roho ata siku moja itakula kwako.

Akija Dar nitaarifu 'nimuweke mjini'... Naahidi kumrudisha tena mikononi mwako akiwa salama ila pia akiwa ametumika kidogo tu...
Vitendo vya Uzinzi na Uasherati! Shetani anazidi kuwakusanya tu kwenye list yake. Jamani acheni zinaa, acheni uasherati, Imeandikwa; "Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe. Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni Hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na MUNGU?" Soma,1 WAKORINTHO 6:18-19
Kama unataka starehe ya kuwa na mwanamke basi "oa". Tafuta mke, oa na awe mke wako wa halali. Mambo ya Uzinzi na Uasherati acheni kabisa. Jamani mtukuzeni MUNGU katika miili yenu.
 
acha kunikumbusha machungu jamaa yangu wa kwangu jana nampigia kuanzia saa tisa mchana anakuja kupokea saa moja na hv za usiku hvi nipomuuliza kulikoni anasema ana hasira halafu kichwa kinamuua kwa sababu alipewa adhabu ya kudeki darasa zima yupo chuo kimoja hpa arusha yaani hawa mademu zetu ni pasua kichwa
 
Vitendo vya Uzinzi na Uasherati! Shetani anazidi kuwakusanya tu kwenye list yake. Jamani acheni zinaa, acheni uasherati, Imeandikwa; "Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe. Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni Hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na MUNGU?" Soma,1 WAKORINTHO 6:18-19
Kama unataka starehe ya kuwa na mwanamke basi "oa". Tafuta mke, oa na awe mke wako wa halali. Mambo ya Uzinzi na Uasherati acheni kabisa. Jamani mtukuzeni MUNGU katika miili yenu.
amina mtumishi
 
acha kunikumbusha machungu jamaa yangu wa kwangu jana nampigia kuanzia saa tisa mchana anakuja kupokea saa moja na hv za usiku hvi nipomuuliza kulikoni anasema ana hasira halafu kichwa kinamuua kwa sababu alipewa adhabu ya kudeki darasa zima yupo chuo kimoja hpa arusha yaani hawa mademu zetu ni pasua kichwa
alikuwa anadeki rungu haahaha ,,
 
Vitendo vya Uzinzi na Uasherati! Shetani anazidi kuwakusanya tu kwenye list yake. Jamani acheni zinaa, acheni uasherati, Imeandikwa; "Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe. Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni Hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na MUNGU?" Soma,1 WAKORINTHO 6:18-19
Kama unataka starehe ya kuwa na mwanamke basi "oa". Tafuta mke, oa na awe mke wako wa halali. Mambo ya Uzinzi na Uasherati acheni kabisa. Jamani mtukuzeni MUNGU katika miili yenu.

usemalo ni kweli lakini kaka unajua kuoa twapenda tatizo ndalama kaka maana huwezi kwenda kwa wakwe na mgegedo wako tuu, utaulizwa una nini? sasa hela tulizokuwa nazo ni za kulipia vidate sio vya kuhudumia familia. ebu tushauri tufanyaje
 
Habari wana JF

Mimi nipo KILIMANJARO kikazi kwa mda wa miezi 6 nakaa Moshi town maeneo ya Soweto sasa wadau kilichonileta hapa ni hiki:

Nina msichana wangu hivi anasoma chuo cha UALIMU GREEN BIRD COLLEGE mwaka wa 3, kipo Mwanga Kilimanjaro. Alinambia akifunga shule niende nikamchukue chuoni kwao nikamuambia nitakosa nafasi siwezi kuja kwa sababu ni mid day akalalamika wee baada ya kummbembeleza sana akakubali.

Jumatano ndo wamefunga shule nikamuambia utaondoka shuleni saa ngapi? Akanambia asubuhi saa 4 ikafika saa 4 siku ya Jumatano nikampigia simu nikakuta ipo busy takribani dakika kama 20 hivi inatumika na baada ya hapo nikapiga tena ikawa haipatikani nikapiga simu ikawa haipatika mpaka saa 12 jioni ndo ananitumia text ndo nipo kwenye gari anarudi kwao Mwika. Nikamuuliza mbona simu yako ilikua haipatikani akanijibu alikua busy serious? Na hata siku moja haijawahi tokea yeye kuzima simu mda mrefu kiasi hicho na huwa akizima simu ananiambiga.


Wadau mimi mawazo yangu nahisi nimechapiwa kabisaa aisee naumia roho sema ndo ishatokea wewe unahisi nini? Au ni mawazo yangu au ninachikiwaza ni kweli?.Daaah! kinachoniuma mtoto ni mzuri hatarii. Akili yangu inawaza tuu kumuacha asiponambia ukweli anakuja kwangu Jumapili kulala kwa mda wa siku 3 then aende Dar es Salaam, Jumatano ndo ataondoka. Mimi nimemruhusu tu aje ila roho inauma sana na mpaka sasa sija muonyesha ishara yoyote kama niko na hasira nipo kawaida tu ila ndo hivo roho inauma.
Wanawake wapo wengi mkuu ukipenda uzuri jiandae kuwa mtumwa
 
Wakikumegea wa kwako na wewe tafuta mnyonge ummegee haipunguzi maumivu inarudisha hadhi ya kiume....

Ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani..masikini roho yangu[emoji56][emoji56][emoji56]
 
Wana chapiwa watu wanaomiliki mpaka Ikulu itakuwa Wewe Unamiliki Kidudu na Ki boxer chako
 
Duh, sasa kama yupo JF na amesoma hii post si atakuwa ameng,amua kila kitu...coz umedadavua sana kiasi anayehusika ataelewa tu.

Kurudi kwenye mada, yote yanawezekana...huenda baada ya wewe kukataa takwa lake naye akatafuta namna ya kukurusha roho ili siku nyingine ujifunze anapokuambia ukamchukue..na kama ndivyo basi lengo lake limetimia maana mpaka akili imekuruka.

Pole, ila fanya utafiti polepole tu.
hamna cha utafiti wala nini hapo,amkaushie asije kwake,kuna mijamke inapenda ufanye kila inachotaka haijali mazingira
 
Habari wana JF

Mimi nipo KILIMANJARO kikazi kwa mda wa miezi 6 nakaa Moshi town maeneo ya Soweto sasa wadau kilichonileta hapa ni hiki:

Nina msichana wangu hivi anasoma chuo cha UALIMU GREEN BIRD COLLEGE mwaka wa 3, kipo Mwanga Kilimanjaro. Alinambia akifunga shule niende nikamchukue chuoni kwao nikamuambia nitakosa nafasi siwezi kuja kwa sababu ni mid day akalalamika wee baada ya kummbembeleza sana akakubali.

Jumatano ndo wamefunga shule nikamuambia utaondoka shuleni saa ngapi? Akanambia asubuhi saa 4 ikafika saa 4 siku ya Jumatano nikampigia simu nikakuta ipo busy takribani dakika kama 20 hivi inatumika na baada ya hapo nikapiga tena ikawa haipatikani nikapiga simu ikawa haipatika mpaka saa 12 jioni ndo ananitumia text ndo nipo kwenye gari anarudi kwao Mwika. Nikamuuliza mbona simu yako ilikua haipatikani akanijibu alikua busy serious? Na hata siku moja haijawahi tokea yeye kuzima simu mda mrefu kiasi hicho na huwa akizima simu ananiambiga.


Wadau mimi mawazo yangu nahisi nimechapiwa kabisaa aisee naumia roho sema ndo ishatokea wewe unahisi nini? Au ni mawazo yangu au ninachikiwaza ni kweli?.Daaah! kinachoniuma mtoto ni mzuri hatarii. Akili yangu inawaza tuu kumuacha asiponambia ukweli anakuja kwangu Jumapili kulala kwa mda wa siku 3 then aende Dar es Salaam, Jumatano ndo ataondoka. Mimi nimemruhusu tu aje ila roho inauma sana na mpaka sasa sija muonyesha ishara yoyote kama niko na hasira nipo kawaida tu ila ndo hivo roho inauma.
Mapenzi nayo ni KAZI
 
mkuu kizuri kula na mwenzio... sema wewe akija tumia condom kula mzigo wako kwa furaha usiwaze baada ya hapo we mwache aende dar aje huku wamtafune vizuri tu huku wewe ukiendelea kujiweka pembeni kiaina
Daah acha nipate kigugumizi aisee,eti kizuri kula na wenzio,aisee skubali arawa.
 
Back
Top Bottom